Ngoda95
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 2,681
- 4,896
Sharti la mila zilizoasisiwa na wazee wahenga ni soda na sukari tuu.Nitafanya kilo 2 na crate 2. Halafu soda tu?!
Ukipiga dabo dabo utakuwa umesamehewa bila mawaa.
Sharti la mila zilizoasisiwa na wazee wahenga ni soda na sukari tuu.Nitafanya kilo 2 na crate 2. Halafu soda tu?!
Sharti la mila zilizoasisiwa na wazee wahenga ni soda na sukari tuu.
Ukipiga dabo dabo utakuwa umesamehewa bila mawaa.
Yule ni mume wangu ujue. Ni mume mkubwaJishaue kuwa nimekuwa kipofu, Nimejilazimisha kumezea.
Jamaniii, moyo wangu unapendapenda sa mi nifanyejeHaha haha!!
Micheps kwa sasa ni inevitable otherwise anaweza pata msongo Wa Umeme Zaidi ya Ule Wa Kinyerezi.
Kwa demi nakaribia kufika, tatizo lake amekubali idadi kubwa ya waombaji kuliko nafasi zilizopo kwenye ofisi yake.
Chezea mcheps wewe!!Anakuwa mpole haswa, inaonekana mcheps unatendea haki nafasi yake.
Ooooh kumbe!!Hakuna haja ya kumsikitikia. Shunie ni mke mkubwa, mimi ni mke mdogo. It's official !
Wewe umenifundisha na ndio unaniamuru niuache?Acha uongo
Ahsante, BTW usifichike kwa kiwango hicho.Sawa vimepatikana.
Ndo hivooOoooh kumbe!!
Asanteeee. Love u too
Aiseee!Hakuna haja ya kumsikitikia. Shunie ni mke mkubwa, mimi ni mke mdogo. It's official !
njoo pm tuyajengeAsanteeee. Love u too
Yule ni mume mkubwa. Wewe mdogo. Dont worry ...nyama ni ile ileAiseee!
Kumbe?