Ndo hivyo yaani ChangamkaKumbe
Sio kila wakati onyesha upendo kwa kumjali unaweza tuma text inafaaKwahiyo niwe namtafta kila wakatiii
Ulivyomtongoza alikuwa mweupe?Alafu unakuta mwanamke mwenyewe ni cheusi tiii uanze kupoteza muda wa kumtafuta wa nini?
Ulivyomtongoza alikuwa mweupe?
Umerogwa na shangazi yako ila tatizo linataturikaYaani Mimi nikiwa na Msichana kwenye mahusiano, inapofikia kwenye suala la mawasiliano let's say kuchat huwaga Ni mzito Sana yaani hadi manzi aanze kunitafuta mwenyewe na mimi ndiyo na respond asipo nitafuta au asipo Anza kunicheki ninaweza nika mute hata wiki nzima,
Yaani napenda manzi ajipendekeze alalamike lalamike, anilaumu simtafutii, Ndiyo Basi Mimi nafrahi.
Naombeni maoni yenu hivi nakosea au napatia, Je kwenye mahusiano mbali na pesa mwanamke anapenda Nini kwenye suala la mawasiliano (chatting)
I see!Alinitaka yeye mwenyewe na weusi wake tiiiiiii kama lami