WanaJF Msaada Tafadhali

Nyete

Member
Apr 20, 2016
58
61
Wakuu habarini za majukumu!
Ukiona mtu analia ujue kuna jambo. Naleta kwenu ombi la msaada ili nipate angalau unga wa kula ili familia yangu nayo isherehekee sikukuu ya idd kama familia zingine. Nilikuwa na kaakiba mwanangu akaugua ugonjwa wa nimonia , nimekatumia kaakiba kote, japo nashukuru mwanangu amepona ila nimebaki sina kitu. Naombeni msaada wenu
Naishi
Kunduchi
Dar es salaam
0765544791
Asanteni.
 
Wakuu habarini za majukumu!
Ukiona mtu analia ujue kuna jambo. Naleta kwenu ombi la msaada ili nipate angalau unga wa kula ili familia yangu nayo isherehekee sikukuu ya idd kama familia zingine. Nilikuwa na kaakiba mwanangu akaugua ugonjwa wa nimonia , nimekatumia kaakiba kote, japo nashukuru mwanangu amepona ila nimebaki sina kitu. Naombeni msaada wenu
Naishi
Kunduchi
Dar es salaam
0765544791
Asanteni.
Wakuu habarini za majukumu!
Ukiona mtu analia ujue kuna jambo. Naleta kwenu ombi la msaada ili nipate angalau unga wa kula ili familia yangu nayo isherehekee sikukuu ya idd kama familia zingine. Nilikuwa na kaakiba mwanangu akaugua ugonjwa wa nimonia , nimekatumia kaakiba kote, japo nashukuru mwanangu amepona ila nimebaki sina kitu. Naombeni msaada wenu
Naishi
Kunduchi
Dar es salaam
0765544791
Asanteni.

Yakula watoto huna ila unayo ya Niuzie Smartphone
 
Mkuu Nashukuru Sana, Toka Nianze Kuweka Matangazo Ya Viwanja Hapa Jf Sijawahi Pata Hata Sent, Hii Kazi Inawenyewe .Bora Niirudie Kazi Yangu Ya Kugonga Mawe Tu .
Huna connection na watu wanaonunua viwanja.
Mimi ni mwalimu nilianza kwa kuwa dalali lakini tangu mwaka jana nanunua na kuuza kikiwa na document zangu.
Napata wateja kwa urahisi na wanakuwa na imani.
Tafuta mtaji wastani wa Tsh10,000,000 anza biashara yako hutajuta.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom