Beauty Eva
Senior Member
- Jul 22, 2016
- 131
- 374
Wanajf/Wana-MMU.. Ninawatakia sikukuu njema ya Krismas na Mwaka mpya.
Tusisahauliane kwa vyuku na vinywaji.
Ninawapenda sana.
Tusisahauliane kwa vyuku na vinywaji.
Ninawapenda sana.
Ni PM namba yako ya simu, nikutafute hiyo kesho. Pia uchague, wapi unataka kwenda kuinjoi? Kama upo Dar lakiniWanajf/Wana-MMU.. Ninawatakia sikukuu njema ya Krismas na Mwaka mpya.
Tusisahauliane kwa vyuku na vinywaji.
Ninawapenda sana.
Akija Faizafoxy ataandikaShuklani sana kiongozi,karibu huku porini tujumuike pamoja
mkuu uko porini .... wapi huko?Shuklani sana kiongozi,karibu huku porini tujumuike pamoja
kumbe joanah pia mchokoz eeeAkija Faizafoxy ataandika
Shuklani=shukrani
Hahahkumbe joanah pia mchokoz eee
yawezekana mama mmoja tumbo mbalimbaliHahah
Mkuu Faizafoxy sijui ana undugu na yule kifimbo cheza wa katika gazeti la sani katika wachafuzi wa lugha
Itakuwa aseeyawezekana mama mmoja tumbo mbalimbali