LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
- Thread starter
- #21
lakini jando kuelekea mjini...?.....si huwa nasikia wanaenda maeneo ya poripori......au hii imekuwaje?...na wamama ndani...?
Kwa habari nilizonyaka kwa Morani mmoja aliyepiga corner na kupata maji angalau baada ya msafa ya tangu alifjiri ya saa kumi kasoro walianza mwendo wa kwenda mpaka mstuni pembezoni mwa mlima Meru tayari kwa kusema ya kwamba tangu miaka 7 ya tohara ya kimila na RIKA kupumzishwa na ndiyo leo tena RIKA lingine linaanza upya na watatinga ndani ya hekalu lao la jadi wakiimba na kumsifu MUNGU ktk mila ya kwao na wakila nyama takrban siku 4 kuanzia leo pale ndani ya Ofisi za Tanapa ilipo watakaa kwenye ile mbuga iliyoko hapo kwani nasikia wakitoka hapo ni kisu ndiyo inawapitia mpk miaka 7 wanasimamisha tena na ndiyo RIKA jipya lina onekana ktk kuutetea IMANI yao mpk hapo nao wakapokadhi kwa wengine kwa mtindo huu huu wa leo. Na nasikia wengi wamekimbilia ya kwamba wao wamemjua MUNGU na kuasi mila lakini inasikitisha sana kwani hata kama ummetairi kijana wako hospitalini ni lazima arudiwe penda hajapenda ama vp wewe baba yake utapitiwa tena wewe. HAKIKA HILI NIMEPATA NIKASIKITIKA SANA ILA NIKAKUMBUKA USEMI HUU "mkataa kwao ni mtumwa" NA KWA KWELI KAZI IPO KWELI KWELI, Na nikamwuliza wasichana ni wa nini? Nao wanapata tohara? Akaniambia hapana hao wamesindikiza vijana wapate ari na mama zao wamewafuata na chakula kwani masafa yalikuwa mrefu ya masaa 7 kwa miguu tu na hata wengine toka kwingine wametembea kwa siku 2 kuhitimisha hili. HABARI NDIYO HIYO WANAjf!