WanaJF kwa pamoja tunaweza kuungana na kusaidia jamii kwa njia moja au nyingine

Basham

JF-Expert Member
Oct 10, 2014
743
429
Amani iwe kwenu wote wana Jamvi

Kwa umoja wetu wanajamvi tunaweza kuunganisha mawazo ya hali na mali katika kusaidia au kutatua matatizo yanayoikabili jamii yetu ya kitanzania katika maisha ya kila siku.

Wakuu wa humu wanaweza kutengeneza utaratibu mzuri tuu wa kupata kamati makini ya kutuwakilisha sehemu mbali mbali katika jamii, Serikali ya JF

Ni mawazo yangu mnaweza kuongeza na mengine or Kama ipo pengine mie cjapata kufahamu basi naomba kufahamishwa

Nawashilisha

BM
 
Tufanye kila kitu tayari, unataka tuanze kuwasaidia wenye matatizo yapi?

Mwanzo siku zote huwa mgumu tunaweza kuanza ata kufanya kitu kidogo, kusaidia taasisi mbali mbali kama shule, Hospital, vituo vya watoto yatima, wenye uhitaji maalumu n.k kwa mawazo ya hali na mali
 
Hapana tukilianzisha wanasiasa wasipewe nafasi binafsi naona siasa ni chanzo cha umasikini kwa walio wengi na ni utajiri kwa wachache
 
Mbona JamiiForum ni kampuni inajitegemea? au ulifikiri ni group kama la whatsapp? ni sawa na kusema wasikilizaji wa Radio One wawe na umoja wao!
 
Mbona JamiiForum ni kampuni inajitegemea? au ulifikiri ni group kama la whatsapp? ni sawa na kusema wasikilizaji wa Radio One wawe na umoja wao!
Wana JF wengi ni watu wenye mawazo mazuri na uwezo wa kupambanua mambo kwa kina hayo mawazo wakiyaweka pamoja something can happen positively in our society
 
Amani iwe kwenu wote wana Jamvi

Kwa umoja wetu wanajamvi tunaweza kuunganisha mawazo ya hali na mali katika kusaidia au kutatua matatizo yanayoikabili jamii yetu ya kitanzania katika maisha ya kila siku.

Wakuu wa humu wanaweza kutengeneza utaratibu mzuri tuu wa kupata kamati makini ya kutuwakilisha sehemu mbali mbali katika jamii, Serikali ya JF

Ni mawazo yangu mnaweza kuongeza na mengine or Kama ipo pengine mie cjapata kufahamu basi naomba kufahamishwa

Nawashilisha

BM
Mawazo mazuri sana!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom