LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Nimekaa na washkaji wangu hapa tunabadilishana mawazo kutokana na hali halisi ya maisha yalivyo: Sasa mmoja kati ye2 anavuta sigara,mwenzangu akachukua kile kiberiti akatoa njiti akawa anachokonolea sikio,ndipo mwenye kiberiti akamdakia na kumpa tahadhari asirudie siku nyingine na akimwonya ya kwamba ile baruti iliyowekwa kwenye njiti ya kiberiti ni rahisi kulipuka ndani ya sikio na akatoa mfano ya kwamba miaka kidogo ya nyuma kuna jamaa wake kapatwa na jambo kama hilo na jamaa akaendelea kuchonoa sikio lake lakini ametusisitiza hilo ya kwmb msipendelee kwn ni soo sana. NAMI NIKASEMA NGOJA NIWAJUZE KAMA KUNA ANAYEWEZA KU2FAFANULIA. Nawasilisha!!!!