LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Ndg zanguni!! Samahanini sana kama ntarudi nyuma kukumbusha yaliyotokea na si mbaya kwa mwenye kujua kinachoendelea na akatukumbusha wengine humu ndani wenye kutaka kujua yanayoendelea kuhusu ule mkasa wa USAFIRISHAJI WA WANYAMA PORI kwenda nchi za nje,kulikuwa na tetesi yule mshtakiwa nambari moja alitorokea kwao pakstan na nikasikiaga tena ameletwaga,mpk hapo sikupata tena kusikia kesi hii! Mwenye kujua atujuze wengine wajamen! Asanteni na samahani kwa usumbufu wowote ule!! Nawasilisha!! Hata Rejao,ritz,thatha,mzee,,,,,na ile kikosi chake nasema KARIBUNI SANA TUJENGE NCHI YETU!