Wanajeshi wapiga raia

MndemeF

Member
Jan 15, 2011
35
5
Kuna habari kuwa wanajeshi wa jeshi la la wananchi wa Tanzania(JWTZ) kutoka kambi ya Kunduchi wamewapiga na kuwajeruhi vibaya baadhi ya wananchi waishio karibu na kambi hiyo iliyopo karibu na machimbo ya kokoto ya Kunduchi. Kila upande wa wahusika hao yaani wapiganaji na raia wanajaribu kutoa sababu za kuvutia upande wao. Kwa vovote iwavyo kwa upande wangu mimi sidhani ni halali kwa wanajeshi kupiga raia wasio na silaha na kuwapa adhabu kubwa za kijeshi. Ningependa kutoa rai ifutayo Kwa wanajeshi wetu.

MOJA: Kumbukeni kuwa hamtakuwa wanajeshi milele yote siku ikifika mtarudi na kuwa raia wa kawaida mtakuja kukaa mtaani na sisi, je tuwatenge? Kulikuwa na wababe zaidi yenu leo wapole tupo nao mtaani.

PILI: Pamoja na kuwa mnaishi kambini lakini mara nyingi huduma nyingi mnapata uraiani, je mkija huku na siye tukatae kuwauzia? Si tunakunywa wote mtaani ingawa mna club zenu za bia za sawa na bei ya bure?

TATU: Kumbukeni kuwa IDDI AMIN alipigwa kirahisi na majeshi ya Tanzania kwa msaada mkubwa kutoka kwa raia wa kawaida wa Uganda ambao walichoka na unyanyasaji wa vikosi vya Amin.

NNE: Hata raia pia wanajua kutumia silaha pale wanapochoka na manyanyaso. Kwa taarifa yenu kama hamjui asilimia kubwa ya waasi wa LIbya wanaopigana dhidi ya Gaddafi ni raia wa kawaida lakinileo wanarusha maroketi na kutumia silaha nzito nzito hata kufikia kuwarudisha nyuma makomandoo shupavu wa Gaddafi.

HITIMISHO: Tunataka jeshi lenye nidhami lenye kuzingatia utawala wa kihseria. Hivi lini mmesikia wanajesi wa marekani wamepiga raia? Ushauri wangu kweni ni huu, kama mmechoka kukaa makambini ni heri mkamuomba amiri jeshi mkuu awape ruhusa muende huko Somalia au Afghanistan mkalinde amani.
 
hakuna haki kwa sababu kila mtu anamuonea mwenzake kwa nafasi yake, poleni wananchi wa kunduchi muda si mrefu haki yenu itasimama na mtashinda vita vyote vya uonevu kwa ssababu dunia hii hakuna mtu aliyetawaloa na kunyanyasa wenzake milele na sikun zote lazima washuke chini na wao waonewe:A S cry::A S cry:
 
Kwa nini wanajeshi mnawapiga wananchi(ndugu zenu)mnaowalinda?au ndio kusema Tanzania haina jeshi!!!?acheni uonevu pls
 
Kuna habari kuwa wanajeshi wa jeshi la la wananchi wa Tanzania(JWTZ) kutoka kambi ya Kunduchi wamewapiga na kuwajeruhi vibaya baadhi ya wananchi waishio karibu na kambi hiyo iliyopo karibu na machimbo ya kokoto ya Kunduchi. Kila upande wa wahusika hao yaani wapiganaji na raia wanajaribu kutoa sababu za kuvutia upande wao. Kwa vovote iwavyo kwa upande wangu mimi sidhani ni halali kwa wanajeshi kupiga raia wasio na silaha na kuwapa adhabu kubwa za kijeshi. Ningependa kutoa rai ifutayo Kwa wanajeshi wetu.

MOJA: Kumbukeni kuwa hamtakuwa wanajeshi milele yote siku ikifika mtarudi na kuwa raia wa kawaida mtakuja kukaa mtaani na sisi, je tuwatenge? Kulikuwa na wababe zaidi yenu leo wapole tupo nao mtaani.

PILI: Pamoja na kuwa mnaishi kambini lakini mara nyingi huduma nyingi mnapata uraiani, je mkija huku na siye tukatae kuwauzia? Si tunakunywa wote mtaani ingawa mna club zenu za bia za sawa na bei ya bure?

TATU: Kumbukeni kuwa IDDI AMIN alipigwa kirahisi na majeshi ya Tanzania kwa msaada mkubwa kutoka kwa raia wa kawaida wa Uganda ambao walichoka na unyanyasaji wa vikosi vya Amin.

NNE: Hata raia pia wanajua kutumia silaha pale wanapochoka na manyanyaso. Kwa taarifa yenu kama hamjui asilimia kubwa ya waasi wa LIbya wanaopigana dhidi ya Gaddafi ni raia wa kawaida lakinileo wanarusha maroketi na kutumia silaha nzito nzito hata kufikia kuwarudisha nyuma makomandoo shupavu wa Gaddafi.

HITIMISHO: Tunataka jeshi lenye nidhami lenye kuzingatia utawala wa kihseria. Hivi lini mmesikia wanajesi wa marekani wamepiga raia? Ushauri wangu kweni ni huu, kama mmechoka kukaa makambini ni heri mkamuomba amiri jeshi mkuu awape ruhusa muende huko Somalia au Afghanistan mkalinde amani.
Aisee!
 
Kuna habari kuwa wanajeshi wa jeshi la la wananchi wa Tanzania(JWTZ) kutoka kambi ya Kunduchi wamewapiga na kuwajeruhi vibaya baadhi ya wananchi waishio karibu na kambi hiyo iliyopo karibu na machimbo ya kokoto ya Kunduchi. Kila upande wa wahusika hao yaani wapiganaji na raia wanajaribu kutoa sababu za kuvutia upande wao. Kwa vovote iwavyo kwa upande wangu mimi sidhani ni halali kwa wanajeshi kupiga raia wasio na silaha na kuwapa adhabu kubwa za kijeshi. Ningependa kutoa rai ifutayo Kwa wanajeshi wetu.

MOJA: Kumbukeni kuwa hamtakuwa wanajeshi milele yote siku ikifika mtarudi na kuwa raia wa kawaida mtakuja kukaa mtaani na sisi, je tuwatenge? Kulikuwa na wababe zaidi yenu leo wapole tupo nao mtaani.

PILI: Pamoja na kuwa mnaishi kambini lakini mara nyingi huduma nyingi mnapata uraiani, je mkija huku na siye tukatae kuwauzia? Si tunakunywa wote mtaani ingawa mna club zenu za bia za sawa na bei ya bure?

TATU: Kumbukeni kuwa IDDI AMIN alipigwa kirahisi na majeshi ya Tanzania kwa msaada mkubwa kutoka kwa raia wa kawaida wa Uganda ambao walichoka na unyanyasaji wa vikosi vya Amin.

NNE: Hata raia pia wanajua kutumia silaha pale wanapochoka na manyanyaso. Kwa taarifa yenu kama hamjui asilimia kubwa ya waasi wa LIbya wanaopigana dhidi ya Gaddafi ni raia wa kawaida lakinileo wanarusha maroketi na kutumia silaha nzito nzito hata kufikia kuwarudisha nyuma makomandoo shupavu wa Gaddafi.

HITIMISHO: Tunataka jeshi lenye nidhami lenye kuzingatia utawala wa kihseria. Hivi lini mmesikia wanajesi wa marekani wamepiga raia? Ushauri wangu kweni ni huu, kama mmechoka kukaa makambini ni heri mkamuomba amiri jeshi mkuu awape ruhusa muende huko Somalia au Afghanistan mkalinde amani.
Uzi umefufuka
 
Hii tabia ya wanajeshi kupiga raia,kama kuna rais aliikomesha bac ni Jk
 
Kuna habari kuwa wanajeshi wa jeshi la la wananchi wa Tanzania(JWTZ) kutoka kambi ya Kunduchi wamewapiga na kuwajeruhi vibaya baadhi ya wananchi waishio karibu na kambi hiyo iliyopo karibu na machimbo ya kokoto ya Kunduchi. Kila upande wa wahusika hao yaani wapiganaji na raia wanajaribu kutoa sababu za kuvutia upande wao. Kwa vovote iwavyo kwa upande wangu mimi sidhani ni halali kwa wanajeshi kupiga raia wasio na silaha na kuwapa adhabu kubwa za kijeshi. Ningependa kutoa rai ifutayo Kwa wanajeshi wetu.

MOJA: Kumbukeni kuwa hamtakuwa wanajeshi milele yote siku ikifika mtarudi na kuwa raia wa kawaida mtakuja kukaa mtaani na sisi, je tuwatenge? Kulikuwa na wababe zaidi yenu leo wapole tupo nao mtaani.

PILI: Pamoja na kuwa mnaishi kambini lakini mara nyingi huduma nyingi mnapata uraiani, je mkija huku na siye tukatae kuwauzia? Si tunakunywa wote mtaani ingawa mna club zenu za bia za sawa na bei ya bure?

TATU: Kumbukeni kuwa IDDI AMIN alipigwa kirahisi na majeshi ya Tanzania kwa msaada mkubwa kutoka kwa raia wa kawaida wa Uganda ambao walichoka na unyanyasaji wa vikosi vya Amin.

NNE: Hata raia pia wanajua kutumia silaha pale wanapochoka na manyanyaso. Kwa taarifa yenu kama hamjui asilimia kubwa ya waasi wa LIbya wanaopigana dhidi ya Gaddafi ni raia wa kawaida lakinileo wanarusha maroketi na kutumia silaha nzito nzito hata kufikia kuwarudisha nyuma makomandoo shupavu wa Gaddafi.

HITIMISHO: Tunataka jeshi lenye nidhami lenye kuzingatia utawala wa kihseria. Hivi lini mmesikia wanajesi wa marekani wamepiga raia? Ushauri wangu kweni ni huu, kama mmechoka kukaa makambini ni heri mkamuomba amiri jeshi mkuu awape ruhusa muende huko Somalia au Afghanistan mkalinde amani.
Naona fundichuma yupo bize sana na task yake ya kuikoroga Tanzania.

Haya matukio siyo bahati mbaya. Viongozi wameziba masikio wanapambania future ya watoto wao....

Tuendelee kuchochewa moto, baadhi ya raia watajichokea mazima
 
Back
Top Bottom