dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 5,847
- 14,509
Mtoto mdogo ambaye anakadiriwa kuwa na umri wa mwaka mmoja ameonekana siku akivushwa na wanajeshi wa Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Kabul nchini Afghanistan leo.
Tukio hilo limetokea wakati ambapo wazazi pamoja na wakazi nchini humo wakijaribu kunusuru maisha ya watoto wao kwa kuwakabidhi mikononi mwa wanajeshi wa kimarekani huku wakiamini itakuwa ni sehemu salama kwa watoto hao kuwa watalindwa dhidi ya ghasia za wanamgambo wa Taliban.
Tukio hilo limetokea wakati ambapo wazazi pamoja na wakazi nchini humo wakijaribu kunusuru maisha ya watoto wao kwa kuwakabidhi mikononi mwa wanajeshi wa kimarekani huku wakiamini itakuwa ni sehemu salama kwa watoto hao kuwa watalindwa dhidi ya ghasia za wanamgambo wa Taliban.