Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Wandugu kuna wanajeshi watatu wanakamata pikipiki hapa lugalo wasio na helmet na ambao wanapita pembeni mbaya hata wakiovertake wakiwa barabarani
wanwasimamisha alafu wamewatenga wa kulia na kushoto mmoja wa watu aliokamatwa ambae niko nae ilibidi nipaki [[emben kujuza kinachoendelea akasema
wamekamatwa tangu saa moja na nusu jamaa wanatka si chini ya alfu 5 yaani 5000 ndi wawaachie yeye anadai ndio ameanz usiku huu akapata kichwa cha alfu tatu ndio kakishusha sasa anatarajia alf 5 nipate wapi alisistiza kijaa yule kwa huruma
embu wakuu wa jeshi liangalien hili wanajeshi wamageuka traffick usiku wakiomba rushwa kumbe afadhali wale nyangeenyange wetu wanaomba rushwa mchana hawa wa usiku wabaya zaidi ya majini
wanwasimamisha alafu wamewatenga wa kulia na kushoto mmoja wa watu aliokamatwa ambae niko nae ilibidi nipaki [[emben kujuza kinachoendelea akasema
wamekamatwa tangu saa moja na nusu jamaa wanatka si chini ya alfu 5 yaani 5000 ndi wawaachie yeye anadai ndio ameanz usiku huu akapata kichwa cha alfu tatu ndio kakishusha sasa anatarajia alf 5 nipate wapi alisistiza kijaa yule kwa huruma
embu wakuu wa jeshi liangalien hili wanajeshi wamageuka traffick usiku wakiomba rushwa kumbe afadhali wale nyangeenyange wetu wanaomba rushwa mchana hawa wa usiku wabaya zaidi ya majini