tumeridhika na kazi nzuri inayofanywa na wachache wenye akili hasa katika kulikomboa taifa lao ambalo lilivamiwa na madikteta kutoka UrusiNaona umeamua uanzishie uzi kabisa!
Hii vita ya propaganda mnaifanya vyema sana!
Ngoja itangazwe vita kamili ndio mtajua Urusi ni nani!tumeridhika na kazi nzuri inayofanywa na wachache wenye akili hasa katika kulikomboa taifa lao ambalo lilivamiwa na madikteta kutoka Urusi
Bado una matumaini tu na Mrusi kuja juu tena? unaambiwa Mrusi amebaki na jeshi la kulinda nchi yake tu kwa sasa hana tena wanajeshi wa akiba kwenda kuwaulisha ovyo ovyo Ukrean,Ngoja itangazwe vita kamili ndio mtajua Urusi ni nani!
Maelezi mengi na pumba ni nyingi vile vile!Nimesema hali inavyoenda,Russia anaweza kutangaza vita kamili dhidi ya Ukraine!Sasa hayo ya kitovu Cha ulaya au Marekani umeyatoa kwenye maelezi ya nani?Mi sijasema hivyo!Bado una matumaini tu na Mrusi kuja juu tena? unaambiwa Mrusi amebaki na jeshi la kulinda nchi yake tu kwa sasa hana tena wanajeshi wa akiba kwenda kuwaulisha ovyo ovyo Ukrean,
Alienda Iran kutaka msaada wa silaha akatolewa nje, North Korea pia, juzi kati alipeleka ukrean hadi wafungwa wa magereza wakapigane na jeshi la Ukrean pia amechemka, hiyo vita kamili ataitolea wapi? mitambo yao ndio kama ivyo inatelekezwa askari wake wana wania roho zao na maisha yao wanakimbia,
Sasaivi amebakiwa na silaha za maangamizi tu kama nuclear na jamaa wako macho sana wanamfatilia nyendo zake vizuri sana akikiwasha tu anashushiwa zaidi ya heroshima, Mrusi ni moga sana na jana kakiri mwenyewe anasema Ukrean hapigani peke yake na kama anapigana peke yake angekwisha maliza kazi, sasa mrusi analitambua hilo kwanini haingii mzigoni kushambulia marekani ama ulaya wakati kabla alikuwa hamezi mate kwamba akibaini hivyo atatangaza vita kamili na kushambulia Marekani ama kitovu cha ulaya?
Atangaze vita mara ngapi,Maelezi mengi na pumba ni nyingi vile vile!Nimesema hali inavyoenda,Russia anaweza kutangaza vita kamili dhidi ya Ukraine!Sasa hayo ya kitovu Cha ulaya au Marekani umeyatoa kwenye maelezi ya nani?Mi sijasema hivyo!
Propaganda zimekuwa nyingi,mara chakula,mara silaha,mara wanajeshi wameisha!
Lakini endeleeni kusubri huyo Ukraine akomboe Donbas!
Donbas imekombolewa maeneo mingi tayari Khakiv jana job well done na baadhi ya miji mingi, Crimea itakuwa ya mwisho kukombolewa kwa mujibu wa Zelensky, Kutangaza vita kamili kwa taifa la Russia maana yake ni sawa na kusema ndio mwisho wa Taifa linaloitwa Urusi na Putini analijuwa hili fika hatajaribu kufanya kosa hilo kama anawajali raia wake na nchi yakeMaelezi mengi na pumba ni nyingi vile vile!Nimesema hali inavyoenda,Russia anaweza kutangaza vita kamili dhidi ya Ukraine!Sasa hayo ya kitovu Cha ulaya au Marekani umeyatoa kwenye maelezi ya nani?Mi sijasema hivyo!
Propaganda zimekuwa nyingi,mara chakula,mara silaha,mara wanajeshi wameisha!
Lakini endeleeni kusubri huyo Ukraine akomboe Donbas!
Hiyo sio vita kamili Bali SMO,ikiwa total war,the rules of the game change!Atangaze vita mara ngapi,
Hilo neno " special military operation" ni geresha tu
Isha fail 60%Ngoja itangazwe vita kamili ndio mtajua Urusi ni nani!
Nasema hakuna wa kuigusa Urusi!Ukraine anafanya SMO tu,akiona upepo unabadilika basi inakuwa Vita!Na hapo ndio Ukraine hakuna rangi ataacha kuona!Donbas imekombolewa maeneo mingi tayari Khakiv jana job well done na baadhi ya miji mingi, Crimea itakuwa ya mwisho kukombolewa kwa mujibu wa Zelensky, Kutangaza vita kamili kwa taifa la Russia maana yake ni sawa na kusema ndio mwisho wa Taifa linaloitwa Urusi na Putini analijuwa hili fika hatajaribu kufanya kosa hilo kama anawajali raia wake na nchi yake
Kwa mujibu wa nani?Isha fail 60%
Hali inavyokwenda, ingekua wapo imara wangekua washajitwalia nchi hiyoKwa mujibu wa nani?
Niko kwenye namba,hiyo 60% umeitoa wapi?Hali inavyokwenda, ingekua wapo imara wangekua washajitwalia nchi hiyo
Ulielewa nilichoandika? kipo kwenye mtazamoNiko kwenye namba,hiyo 60% umeitoa wapi?
Ok,mtazamo unapaswa useme!Sio unatuwekea figure as if umefanyika utafiti kumbe ni mtizamo wako!Ulielewa nilichoandika? kipo kwenye mtazamo
Asa kwanini hatangazi anasuburi mpaka iwe nini ndo atangaze vita kamili?Hiyo sio vita kamili Bali SMO,ikiwa total war,the rules of the game change!
Na ni wajinga pekee ndio wanaamini hii ni op na sio vita.Atangaze vita mara ngapi,
Hilo neno " special military operation" ni geresha tu