Wanajeshi wa Ukraine waongea kwa uchungu baada kuvunjwa vunjwa viungo vyao huko Kherson

Hizi ni propaganda tu wala siamini. Walisema Russia ana silaha nyingi tena kali kuliko nchi zingine. Anashindwa kuipiga Ukraine?
Sasa hivi hana kisingizio, raia karibia wote wameshatoka Ukraine, wamebaki wanajeshi. Anashindwa kushusha kombora akamaliza vita chapu tu.
Miezi mingapi anapigana vita na Ukraine?
Hii vita Russia alikurupuka 100%, alifikiri ataipiga Ukraine kwa muda mfupi tu.
Ni sawa na kumkamia, mwanamke unachomeka unapiga tak mbili wazungu haooo, hapo mwanamke hamu ndiyo imeanza. Unajifuta, unakunywa maji, unavuta hisia tena, huku unasugua mashine, inasimama huku imelegea. Unaweka tena. Ndani ya dk 1 wazungu haoo, unaanza kusingizia muda mrefu haujafanya na sababu kibao. Kumbe gemu ni ngumu
Ha ha ha ha ha ha ha
 
100%. Huwaga sina story za kubumba Mkuu naongea kitu Kwa facts na evidence

Wagner ni ..Private Security company...ambao anapata contract za ulinzi ...sasa wao kuajiri ni sawa na Garda world hapa akatangaza kwenye mabango anaajiri ...hivyo WION kuitumia hii kama reflecton ya Jeshi la Serikali its totally misleading....
 
Tulitegemea Russia angemaliza game mapema ila matokeo yake ni tofauti.
Inashangaza sana. Hii vita Putin alikurupuka 100% na ilikuwa haina ulazima wowote wa kupigana vita. Amefaidika nini Russia mpaka sasa?
Huu ni mwezi wa 9 itafika mwezi wa 12 bado tu anakomaa.
 
Kweli kijeshi Russia yupo mbali ukilinganisha na Ukraine ila kama kweli raia wa Ukraine hawataki kutawaliwa na Russia basi Russia hawezi kuikalia Ukraine.naona ya Vietnam yana jirudia mkuu.
Wengi wanamuona zele kama kibaraka wa west ktk hili, wasichujua ni kwamba toka miaka ya nyuma kabla ya Zele, Marais wote walikuwa wakipinga Ukraine kutawaliwa na Russia, na hii inatokana na raia wenyewe kukataa.

Askar wa Ukraine wana morali sababu imekuwa ni rahisi kuwapa motisha kutokana na ardhi yao kuvamiwa, na wamekula kiapo na mafunzo ya kulinda mipaka ya nchi yao. Je askari wa Russia utawapa vipi motisha? Kwenda kumpiga mtu ambae hata hujui kosa lake kubwa hasa ni lipi, tena huna uhakika na kosa lake.

Kwa sasa vita ilipofika, Askar wa Ukraine watakuwa na motisha kubwa zaidi, kumzima sio rahisi kabisa.
 
Inashangaza sana. Hii vita Putin alikurupuka 100% na ilikuwa haina ulazima wowote wa kupigana vita. Amefaidika nini Russia mpaka sasa?
Huu ni mwezi wa 9 itafika mwezi wa 12 bado tu anakomaa.
Na bado ataendelea kukomaa, kwa upepo wa sasa, karata hazipo upande wake. Ile kasi ya mashambulizi imepungua mno, nafikiri anajipanga upya kisilaha na kiuchumi haswa.
 
Hawa sio kwamba wametoka magerezan mkuu?
Mobilization ya raia kwa kawaida kukuta watu kama wenye vitambi kitu cha kawaida kabisa. Kwenye WW2 waliitwa Partisans Poland waliisumbua Nazi Germany na USSR ilikuwa nao wengi sana ndio maana wapiganaji wake walikufa wengi kwenye battlefield. Some of them walienda weka rekodi mfano Vasily Zaitzev alikuwa mwindaji uko Siberia. Ila hawakuwa vitambi kama hawa na kawaida ya partisans huitana na kupeana mob psychology unakuta walikuwa waashi wa eneo fulani wamebebana uko wakajiandikisha.
 
URUSI ndo taifa la kwanza kupigana na Dunia
Hizi ni propaganda tu wala siamini. Walisema Russia ana silaha nyingi tena kali kuliko nchi zingine. Anashindwa kuipiga Ukraine?
Sasa hivi hana kisingizio, raia karibia wote wameshatoka Ukraine, wamebaki wanajeshi. Anashindwa kushusha kombora akamaliza vita chapu tu.
Miezi mingapi anapigana vita na Ukraine?
Hii vita Russia alikurupuka 100%, alifikiri ataipiga Ukraine kwa muda mfupi tu.
Ni sawa na kumkamia, mwanamke unachomeka unapiga tak mbili wazungu haooo, hapo mwanamke hamu ndiyo imeanza. Unajifuta, unakunywa maji, unavuta hisia tena, huku unasugua mashine, inasimama huku imelegea. Unaweka tena. Ndani ya dk 1 wazungu haoo, unaanza kusingizia muda mrefu haujafanya na sababu kibao. Kumbe gemu ni ngumu
 
We ndo shoga ambapo hata uwezo wa kufikili umeishia hapohapo unaweza ushoga muda wote.Ukraine inatak nchi yao tu .
Hilo ni Jimbo moja wapo kama St Petersburg inachukuliwa yote Ila nyie mashoga tutawaua wote kwanza
 
Putin Is Right About Ukraine Grain Avoiding Poor Countries - Erdogan

Turkish President Recep Erdogan has agreed with Russian counterpart Vladimir Putin’s assessment over the problem of Ukrainian grain exports being sent to predominantly wealthier, European countries over poorer ones.

Erdogan added that Europe is in a panic over how to get through winter in light of the energy crisis.

Subscribe to RT
 
IMG_20220908_223551_987.jpg
 
Wagner ni ..Private Security company...ambao anapata contract za ulinzi ...sasa wao kuajiri ni sawa na Garda world hapa akatangaza kwenye mabango anaajiri ...hivyo WION kuitumia hii kama reflecton ya Jeshi la Serikali its totally misleading....
Mbona kabla ya Vita hakuajiri?! Na hayo mabango mbona hayakubandikwa kabla ya Vita?! Mbona hao wafungwa hawakutolewa wakapigane kabla ya Vita?!

Kwanza Una habari kama hao Wagner wanapigana huko Ukraine pamoja na wapiganaji wengine toka Syria?!
 

LIVE

Open the menu



LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Russia-Ukraine live news: Belarus war games at Poland border

A psychiatric hospital heavily damaged after a Russian attack in Kramatorsk [Kostiantyn Liberov/AP Photo]

By Joseph Stepansky

Published On 8 Sep 20228 Sep 2022

Click here to share on social media

Russia-ally Belarus has launched military exercises near its border with Poland. The drills will focus on “liberating territory temporarily seized by the enemy” and regaining control over border regions, the defence ministry said.

The US has accused Russian forces of forcibly deporting Ukrainians to Russia, in Washington’s latest allegation of war crimes in the wake of the invasion of Ukraine.

Read more
Good news
 
URUSI ndo taifa la kwanza kupigana na Dunia
Ni sawa. Dunia ya sasa imebadilika sana siyo ya kipindi kile ya vita ya 1 & 2 ya dunia ambapo teknolojia ilikuwa chini sana. Sasa teknolojia imekuwa
Hii vita haikuwa na ulazima wowote na ninauita ni uonevu 100%. Mpaka sasa Russia amepata faida gani zaidi ya hasara? Miezi mingapi hii anapigana vita? Russia ataondoka baada ya kuona vita imemchukua muda mrefu sana na hana matumaini kuichukua nchi yote ya Ukraine.
Angepigana na Marekani anayemwekea vikwazo ningemuelewa sana.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom