Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Sisi wa kwetu wamehamia fani ya kung'oana meno na kucha wakati wenzetu wanailinda nchi yao na raia wao kwa kila hali.
Kiboko yao ni KURKS au Nyambizi ileee iliwalipukia na kuwaua kibao tu hahahahhaah
Mkuu Saint Ivuga ongeza zingine plizzz!!!!!!!!!!!! Naona Wakwetu wamekazana kupasua matofali tu wakati wenzao wananyanyua meza kwa Meno.
Sisi wa kwetu wamehamia fani ya kung'oana meno na kucha wakati wenzetu wanailinda nchi yao na raia wao kwa kila hali.
Mkuu Saint Ivuga, hiyo NAVY DAY ni ya dunia nzima? Mbona hapa bongo hata sijasikia kitu.
kaka nimeshaweka za kutosha
kwa hapa bongo labda miaka 300 ijayo..