KAUDO
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 138
- 67
Hadi muda huu watu wawili wamefariki dunia baada ya wanajeshi wa Kambi ya Lwamishenye mjini Bukoba kuvamia mtaa wa Anyama na kutembeza kipigo.
Pia muda mfupi uliopita polisi wamewatawanya wananchi waliofika kituo cha polisi Bukoba wakiandamana kupinga mauaji hayo.
Habari zaidi baadaye,niko kwenye mtaa husika kuongea na familia zilizopoteza ndugu zao.
Pia muda mfupi uliopita polisi wamewatawanya wananchi waliofika kituo cha polisi Bukoba wakiandamana kupinga mauaji hayo.
Habari zaidi baadaye,niko kwenye mtaa husika kuongea na familia zilizopoteza ndugu zao.