Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,699
- 1,455
Uhamiaji ni Idara, polisi ni jeshi lakini pia kufananisha hizi Taasisi na kumtafuta Superior ni upuuzi kuliko Rushwa yenyewe.Jwtz wanajiheshimu na hawana maujinga kama majeshi mengine na wao wamenyooka straight forward na hawataki utani. Mimi mtu akiniambia eti uhamiaji, police ni jeshi nakataa maana wao ndio wahalifu number one wanaokula rushwa na uchafuzi mwengine
Kila Taasisi ina weledi katika majukumu yake na ina udhaifu pia katika majukumu yake
Sent from my iphone using JamiiForums mobile app