figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Salaam Wakuu,
1. Kipindi cha Kikwete, Wanasiasa walipelekwa JKT kujifunza Uzalendo na Maadili. Hii napendekeza iendelee kwa Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu wakuu, Wakuu wa Wilaya na Mikoa.
2. Polisi, Usalama wa Taifa na Askari wa amani, Waende JWTZ kujifunza kwanini Wanaogopwa lakini JWTZ ni rafiki wa raia.
3. Polisi, Usalama wa Taifa na Askari wa amani, Wajiulize kwanini JWTZ hawapokei Rushwa.
4. Vyombo vya Usalama vyote, Vijifunze JWTZ kwanini hawajihusishi na Siasa na kujipendekeza kwa Wanasiasa
5. Wanajeshi ni Kimbilio la Wananchi, nini siri ya Urembo? Majeshi mengine yakajifunze.
Majeshi yetu yangekuwa na Utii na weledi wa kama JWTZ, Nchi yetu ingekuwa Tajiri.
Majeshi yetu yajitathimini kwa manufaa ya Nchi ya Tanzania.
1. Kipindi cha Kikwete, Wanasiasa walipelekwa JKT kujifunza Uzalendo na Maadili. Hii napendekeza iendelee kwa Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu wakuu, Wakuu wa Wilaya na Mikoa.
2. Polisi, Usalama wa Taifa na Askari wa amani, Waende JWTZ kujifunza kwanini Wanaogopwa lakini JWTZ ni rafiki wa raia.
3. Polisi, Usalama wa Taifa na Askari wa amani, Wajiulize kwanini JWTZ hawapokei Rushwa.
4. Vyombo vya Usalama vyote, Vijifunze JWTZ kwanini hawajihusishi na Siasa na kujipendekeza kwa Wanasiasa
5. Wanajeshi ni Kimbilio la Wananchi, nini siri ya Urembo? Majeshi mengine yakajifunze.
Majeshi yetu yangekuwa na Utii na weledi wa kama JWTZ, Nchi yetu ingekuwa Tajiri.
Majeshi yetu yajitathimini kwa manufaa ya Nchi ya Tanzania.