Fede Masolwa
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 528
- 123
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili.
SOURCE ; http://www.bbc.co.uk/swahili/
SOURCE ; http://www.bbc.co.uk/swahili/