Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
Wanajeshi 33 wa kambi ya jeshi Mainok katika jimbo la Borno wameuawa na wanaodhaniwa kuwa wapiganaji wa dola ya kiislam (IS).
Wanamgambo walifika kambini hapo kwa kuvaa nguo za jeshi na kutumia magari ya jeshi na kufanikiwa kuidhibiti kambi kwa saa kadhaa.
Dola ya Kiislam Jimbo la Afrika Magharibi walijitenga kutoka Boko Haram miaka kadhaa iliyopita ambapo sasa wameendeleza mashambulizi yao.
Mwezi uliopita walifanikiwa pia kuua zaidi ya wanajeshi 30.
Wanamgambo walifika kambini hapo kwa kuvaa nguo za jeshi na kutumia magari ya jeshi na kufanikiwa kuidhibiti kambi kwa saa kadhaa.
Dola ya Kiislam Jimbo la Afrika Magharibi walijitenga kutoka Boko Haram miaka kadhaa iliyopita ambapo sasa wameendeleza mashambulizi yao.
Mwezi uliopita walifanikiwa pia kuua zaidi ya wanajeshi 30.