waungwana sasa tumbo langu joto hasaninaposikia negative results kwa chadema maana nakipenda sana chama hiki hivyo naomba kujulishwa yanayojiri chadema kigoma na kwingineko tz.
Wale wahuni wa jana wako chakali kutokana na viloba walivoleweshwa saivi wanaugulia maumivu, chadema inakata mbuga tu