me ni kijana nliemaliza form four mwaka huu,so nko nyumban 2u ningeomba kwa anayejua kampun yeyote inayotafuta wafanyakaz aniambie coz nmechoka kukaa Idle mno!
Du,yaani wewe umemaliza Form form mwaka huu na umechoka kukaa nyumbani muda mfupi namna hii?
Anyway,wapo wataokuja kukushauri Zaidi.
Ila mie nakushauri tafuta Kozi yoyote ya ujuzi ili uwe na ujuzi kichwani.
Fuatilia Kozi za VETA zitakusaidia na kukupa msingi mzuri.
Umri wako na kazi ya ajira naona kama unaingia shimoni mapema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.