Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Nmeingia dodoma leo nmemtafuta jamaa yangu wa JF huku Dom ananipa michongo kadhaa ya kupata tour guide dodoma. Nmeambiwa kwa sasa dodoma wanawake wengi wamekimbilia huku kukaa na waume za watu waliotoka dar.
Jamaa ananipostia tu picha za watu ambao yeye anadai tayari... Nikasema he walaaa yashinda utumwa nami nijumuike kiroho safi kabisa maana usiamini ya kuambiwa mpaka uone mwenyewe...
"PICHA NILIYOPEWA NMEAMBIWA NI YA MHUSIKA YUPO HUMU NDANI. BINAFSI SIKUJUA COZ ALIYENIPA KANAMBIA NITAPATA MTU WA KUNIPA COMPANY DODOMA NA KUNITUMIA PICHA KIBAO "
Wagogo na wageni wengine sisi wageni wenu tunashukuru kwa wema wenu.
Jamaa ananipostia tu picha za watu ambao yeye anadai tayari... Nikasema he walaaa yashinda utumwa nami nijumuike kiroho safi kabisa maana usiamini ya kuambiwa mpaka uone mwenyewe...
"PICHA NILIYOPEWA NMEAMBIWA NI YA MHUSIKA YUPO HUMU NDANI. BINAFSI SIKUJUA COZ ALIYENIPA KANAMBIA NITAPATA MTU WA KUNIPA COMPANY DODOMA NA KUNITUMIA PICHA KIBAO "
Wagogo na wageni wengine sisi wageni wenu tunashukuru kwa wema wenu.