Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,807
- 621
wanajamii, msoma mjini ni jimbo langu la kuwa mbunge tokea nimezaliwa, na nimezaliwa katika familia ya kisiasa ambayo baba yangu mzazi ALIUWAWA kwa mbinu na ishu za kisiasa
NINAYO DHAMIRA YA KWELI KATIKA KULETA MABADILIKO KATIKA JIMBO HILI.
Sasa ninaomba ushirikiano wenu nichukue jimbo hili. Kwa kuwa KAMPENI ZANGU ZINAANZA RASMI KUANZIA TRH 13/12/2010 - 30/10/2015
Naombeni kura zenu TAFADHALI
NINAYO DHAMIRA YA KWELI KATIKA KULETA MABADILIKO KATIKA JIMBO HILI.
Sasa ninaomba ushirikiano wenu nichukue jimbo hili. Kwa kuwa KAMPENI ZANGU ZINAANZA RASMI KUANZIA TRH 13/12/2010 - 30/10/2015
Naombeni kura zenu TAFADHALI