blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,434
- 12,589
Kwanza kabisa naomba nianze kwa kusema 'mapenzi ni upofu,mapenzi ni kichaa'.
Mdogo wangu kabisa huo ukichaa na upofu unamuhusu...
Hatukuwahi tarajia wala fikiria katika ukoo wetu wa kikristu wa roman katoliki angeweza tokea mtu kukubali kuoa au kuolewa na mu ISLAM.
Mdogo wetu huyu mpendwa amekubali olewa na Islam,, ni bora angekua yeye ndo wa kwanza,,huyo jamaa tayari ana mke na amedumu nae kwa miaka 12... Dogo amekubali kuwa mke wa pili.,haambiliki hashauriki.
Tunajiuliza, kalogwa au kafanywa nini. Mawazo yenu ni muhimu, tumuache aende??? Tuwabariki waoane??
MAPENZI KWELI NI UPOFU..
KARIBUNI KWA MAWAZO.
Mdogo wangu kabisa huo ukichaa na upofu unamuhusu...
Hatukuwahi tarajia wala fikiria katika ukoo wetu wa kikristu wa roman katoliki angeweza tokea mtu kukubali kuoa au kuolewa na mu ISLAM.
Mdogo wetu huyu mpendwa amekubali olewa na Islam,, ni bora angekua yeye ndo wa kwanza,,huyo jamaa tayari ana mke na amedumu nae kwa miaka 12... Dogo amekubali kuwa mke wa pili.,haambiliki hashauriki.
Tunajiuliza, kalogwa au kafanywa nini. Mawazo yenu ni muhimu, tumuache aende??? Tuwabariki waoane??
MAPENZI KWELI NI UPOFU..
KARIBUNI KWA MAWAZO.