Wanaigeria wanazidi ku take over katika industry ya porno

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,532
44,650
Wakuu nyie wenyewe Ni mashahidi kwa Sasa wanaigeria Ni Moto mwingine katika video za x kwani wanaigiza na kuzi upload wanapata pesa Huku wakistarehe wanawake wa huko sio waoga asee hawana aibu uzi tayari.
 
Dahh hatari hii Kada wewe! Vipi kwaiyo wanawake wetu wajiachie nawao si ndio?
Hapana sijasema wajiachie ila me naona kwa Africa Sasa hivi video za kinaija zinazidi kuboreshwa siku Hadi siku
Wabongo hapa maadili labda yanakataza siungi mkono hio michezo waendelee tu kuji record kwa nyuma Bila kuonyesha sura
 
Wakuu nyie wenyewe Ni mashahidi kwa Sasa wanaigeria Ni Moto mwingine katika video za x kwani wanaigiza na kuzi upload wanapata pesa Huku wakistarehe wanawake wa huko sio waoga asee hawana aibu uzi tayari.
Nonsense,na wabongo wakijiachia hivyo,utarudi hapa kulalama kuwa bongo hakuna mwanamke wa kuoa.
Grow up man!
 
Wakuu nyie wenyewe Ni mashahidi kwa Sasa wanaigeria Ni Moto mwingine katika video za x kwani wanaigiza na kuzi upload wanapata pesa Huku wakistarehe wanawake wa huko sio waoga asee hawana aibu uzi tayari.
Ni watumwa wa fedha. Watafikia mahali kuact na mama zao ilmradi wapate fedha. Umaskini wa akili ni kitu kibaya. Wakati wakijidhalilisha hivi, mafuta ya nchi yao yanawanufaisha wazungu huku nchi yao ikiwa inachafuliwa kimazingira na sasa kimaadili hakuna mfano.
 
Back
Top Bottom