Wanaigeria wamweka kiti moto diamond kwa kuvaa vibaya kwenye arusi ya peter wa p-square

NIMEPENDA hii apa

[ @ ] genovan dimondplatinumz u shud get personal
designer…..that outfit…i
kno u copy t 4m ur role
model…..she was
looking gud tho in those
pictures she took when she landed 4m
China..unlike u…….u
absolutely looks like
joker.
 
Na wanaijeria wanavyojua kuvaa...watamuona alikuwa na nia ya kuharibu harusi ya mwenzie...hawamuelewi kabisa
 
Diamond!

I can just understand what the guy is doing! Wabongo tuliijua hii safari yake mapema, hatujacomment chochote kwa sababu ni ya kimafanikio, hatuoni kama dogo anaupeleka muziki wetu kimataifa, watu wa nje wanamjua Diamond kimziki kuliko msanii mwingine yeyote Tanzania kwa sasa, soon atafunica East Africa.

Dogo hajasoma kabisa, lakini hatua aliyoipiga wasomi wenye PHD na vyeti vingi wengi hatuwezi dare kufanya kitu kikajulikana kitaifa, achilia kimataifa; tunaishia kuponda mafanikio ya wanaojaribu. Leo hii Diamond Form 4 failure anaweza kukaa meza moja na the Richest Musicians in Africa lakini bado hatuappreciate, tunasubiri akosee ndio tuongee. Mavazi kitu gani bwana, mbona hivi vitu vinarekebishika tu.

Diamond namkubali sana, hata kiinglishi alichapia sana tukamcheka, lakini taratibu anaendelea kukinyosha na kukata mawimbi. Atafika mbali kwa sababu anazichukulia hizi kama changamoto tu, most probably kama sio kukosea kuvaa kuna watu tusingejua kama dogo yuko na P Square, tungejuaje sasa wakati mafanikio hayawi posted isipokuwa makosa. labda alikosea makusudi kwa sababu anatufahamu tabia zetu.

Baada ya Kanumba kwenye Filamu, namwona mtu mwengine mwenye jitihada zaidi za kufanya vitu kimataifa zaidi, AY anajaribu jaribu lakini nafikiri majukumu yanambana.

Big Up Diamond Platnumz
 
  • Thanks
Reactions: Sal
So Diamond Platnumz jana alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa waliohudhuria harusi ya kimila ya Peter Okoye wa kundi la P-Square na mchumba wake, Lola Omotayo iliyofanyika jijini Lagos, Nigeria.

Kwenye harusi hiyo, Diamond alipata nafasi ya si tu kushuhudia Peter na Lola wakisema ‘Yes I do’ bali pia aliweza kuchill na cream ya mastaa wa Afrika wakiwemo Iyanya na mchezaji wa timu ya Tottenham Hotspur na timu ya taifa ya Togo, Emmanuel Adebayor.

Alipata pia fursa ya kuwaonesha Adebayor na Iyanya style yake ya kucheza ya Ngololo

Hata hivyo, kitu kimoja hakikwenda sawa. Ni nguo aliyokuwa ameivaa, ambayo iligeuka gumzo kwa mashabiki wengi wa muziki nchini Nigeria waliosema kachemka.

Issue ilikuwa hivi, Iyanya alipost picha akiwa na Diamond pamoja na jamaa mwingine na kuandika: With Ubifranklintriplemg diamondplatnumz after peterpsquare trad.”

Polisi jamii wa masuala ya mitindo, wakamweka kitimoto:

[ @ ] chickchuky d dude in d middle…wat d hell,,,see men standing beside u…abeg shuuuuuuuuuu I love iyanya

[ @ ] oakis2000 Whats with the micheal jackson style pant in the middle lol 13h
[ @ ] iamzarajays The object in the middle though…. Dear father forgive me for I have sinned.. Sighs

[ @ ] iheart_swk Sorry no hating but it doesnt suites ur muscular bodi well well darling
[ @ ] genovan dimondplatinumz u shud get personal designer…..that outfit…i kno u copy t 4m ur role model…..she was looking gud tho in those pictures she took when she landed 4m China..unlike u…….u absolutely looks like joker.

[ @ ] agathonyjohn He is east africa michael jackson Chickchuky ..from Tanzania ain’t he dope?
[ @ ] zinwaogb Wow he can sing, just watched his number one video on YouTube, I can’t hate on talent nice one diamond
[ @ ] nikkipollo139 Iyanya u look gorgeous n ubifranklintriplemg but diamond please go change ur cloths for pits sake
[ @ ] kagebby Daimond ulivyovaaaa utafikiria clown……Sasa daimond unatuangusha ndungu….Iyany……sio mbaya ila Daimond anakuj kukufunikaaaaa balassaaa 7h

[ @ ] clarahcut3 Dhahabu87 please stop defending whats not right, the clothes are nice but not good for him, so he should know that not every good cloth will look good with him, and those are among the clothes that dont look good on him, even if he is my fellow Tanzanian but he dont look good and he bored me for real he could atleast ask before getting out Genovan mwatumu37 looking great brother iyanya

[ @ ] ngozi80 4 God sake they should have a fashion adviser someone who can give them sone fashion skills b4 going out or 4 red carpet 2

frankly speaking dogo kaniangusha linapoluja suala la "outfit", mwanaume kuvaa suruali "don't touch" halafu inabana ktk tukio la Harusi kama lile, he looks so feminine, kwa exposure aliyonayo nilitegemea ana mtalaamu wake wa mavazi.
 
Last edited by a moderator:
vidato navyo vinachangia jamani, msimseme sana, shuleeeeee mgogoro.....
 
Diamond!

I can just understand what the guy is doing! Wabongo tuliijua hii safari yake mapema, hatujacomment chochote kwa sababu ni ya kimafanikio, hatuoni kama dogo anaupeleka muziki wetu kimataifa, watu wa nje wanamjua Diamond kimziki kuliko msanii mwingine yeyote Tanzania kwa sasa, soon atafunica East Africa.

Dogo hajasoma kabisa, lakini hatua aliyoipiga wasomi wenye PHD na vyeti vingi wengi hatuwezi dare kufanya kitu kikajulikana kitaifa, achilia kimataifa; tunaishia kuponda mafanikio ya wanaojaribu. Leo hii Diamond Form 4 failure anaweza kukaa meza moja na the Richest Musicians in Africa lakini bado hatuappreciate, tunasubiri akosee ndio tuongee. Mavazi kitu gani bwana, mbona hivi vitu vinarekebishika tu.

Diamond namkubali sana, hata kiinglishi alichapia sana tukamcheka, lakini taratibu anaendelea kukinyosha na kukata mawimbi. Atafika mbali kwa sababu anazichukulia hizi kama changamoto tu, most probably kama sio kukosea kuvaa kuna watu tusingejua kama dogo yuko na P Square, tungejuaje sasa wakati mafanikio hayawi posted isipokuwa makosa. labda alikosea makusudi kwa sababu anatufahamu tabia zetu.

Baada ya Kanumba kwenye Filamu, namwona mtu mwengine mwenye jitihada zaidi za kufanya vitu kimataifa zaidi, AY anajaribu jaribu lakini nafikiri majukumu yanambana.

Big Up Diamond Platnumz

Unajua kuna akili za ajabu sana yan mtu kukaa na mtu ndo maendele na kuimba upuuzi natakakulewa na ufahamu wa kumlinganisha na mtu wa phd unajua nyie vijana mliomezwa na fb kwenye mambo ya kipumbavu na kihun kama karne za nyuma vijana wangekuwa kama nyie maendeleo yangekuwa ndoto kitu mnachotaka
Ni kupewa attention na recognition kwa mambo ya kipuuzi

Ni akili za funza mwafrika kutaka publicity ya Hollywood wale wameendelea sana we badala upambane na umasikini unaotafuna familia yako na taifa unataka uishi kama mmarekani.
 
Unajua kuna akili za ajabu sana yan mtu kukaa na mtu ndo maendele na kuimba upuuzi natakakulewa na ufahamu wa kumlinganisha na mtu wa phd unajua nyie vijana mliomezwa na fb kwenye mambo ya kipumbavu na kihun kama karne za nyuma vijana wangekuwa kama nyie maendeleo yangekuwa ndoto kitu mnachotaka
Ni kupewa attention na recognition kwa mambo ya kipuuzi

Ni akili za funza mwafrika kutaka publicity ya Hollywood wale wameendelea sana we badala upambane na umasikini unaotafuna familia yako na taifa unataka uishi kama mmarekani.

Ungetumia nguvu hizi ulizotumia kunijibu kwenye kutafakari nini nimeandika labda ungenielewa.

Diamond ni Mwanamuziki, kina P Square ni wanamuziki, vipi akikaa nao halafu akagusia swala la kufanya colabo na wakakubali unaonaje?

Diamond unamwita mpuuzi, show moja analipwa zaidi ya M 8, ana matangazo na Voda na Coca Cola! Unajua analipwa ngapi? Tutakalia majungu tu.
 
Mimi Diamond namkubali sana...kwangu ni number one Tanzania...

Na hata kualikwa na kina P Square ni bonge la achievement kwani nani mwingine Tz kaalikwa?

Tatizo pedo...labda tutumie argument ya Husnino kuwa hiyo ilikuwa ni calculation ya kupata cheap popularity toka kwa wanaijeria maana amekuwa gumzo...na labda ndio lilikuwa lengo...bila hivyo wala asingekuwa discussed kwani harusi ilikuwa na watu wengi maarufu...


Ungetumia nguvu hizi ulizotumia kunijibu kwenye kutafakari nini nimeandika labda ungenielewa.

Diamond ni Mwanamuziki, kina P Square ni wanamuziki, vipi akikaa nao halafu akagusia swala la kufanya colabo na wakakubali unaonaje?

Diamond unamwita mpuuzi, show moja analipwa zaidi ya M 8, ana matangazo na Voda na Coca Cola! Unajua analipwa ngapi? Tutakalia majungu tu.
 
Jana katika mahojiano na EATV, P-square waliulizwa kuhusu mavazi ya diamond. Wakashangaa diamond ni nani na kusema hawajui kama alikuwepo.
 
Back
Top Bottom