brobiz
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 585
- 775
hii fursa nimeikuta whatsapp group kama utaipenda fanya kuomba na ww mdau
TANGAZO:
Wanahitajika vijana wa Kike na Kiume 23 kwa ajili ya kazi ya Data entry katika Pilot Project ya ku-test mfumo wetu wa kukusanya taarifa za kitafiti kwa mfumo wa Computer katika Kampuni ya Doube A Company Limited, itakayodumu kwa muda wa miezi 9.
Project hii itakayofanyika Jijini Dar es Salaam itaanza kuanzia mwezi November mwaka huu mpaka mwezi July mwaka 2019.
SIFA ZA MUOMBAJI:
1.Elimu kuanzia Kidato cha nne na kuendelea.
2.Awe na umri kuanzia miaka 21 mpaka 35.
3.Awe na uwezo wa matumizi ya Msingi ya Computer(Basic Computer Skills)
4.Asiwe mwanafunzi au mwajiriwa wa mahali popote.
5.Awe na uwezo wa kufanya kazi bila usimamizi wa moja kwa moja.
6.Awe mkazi wa Dar es Salaam.
MSHAHARA:
Tsh 430, 000 kwa mwezi, na posho ya usafiri na chakula ya Tsh 8,500 kwa siku.
Kwa mwenye vigezo tafadhali tuma maombi yako kwa njia ya email ya asigwa@gmail.com ukiambatanisha Barua ya maombi pamoja na CV kabla ya tarehe 28 September mwaka huu 2018.
ANGALIZO:
Usitume nakala za vyeti vyako, kwani usahili utafanyika kwa awamu mbili.
Uwasilishwaji wa nakala za vyeti utafanyika wakati wa usahili tu.
TANGAZO:
Wanahitajika vijana wa Kike na Kiume 23 kwa ajili ya kazi ya Data entry katika Pilot Project ya ku-test mfumo wetu wa kukusanya taarifa za kitafiti kwa mfumo wa Computer katika Kampuni ya Doube A Company Limited, itakayodumu kwa muda wa miezi 9.
Project hii itakayofanyika Jijini Dar es Salaam itaanza kuanzia mwezi November mwaka huu mpaka mwezi July mwaka 2019.
SIFA ZA MUOMBAJI:
1.Elimu kuanzia Kidato cha nne na kuendelea.
2.Awe na umri kuanzia miaka 21 mpaka 35.
3.Awe na uwezo wa matumizi ya Msingi ya Computer(Basic Computer Skills)
4.Asiwe mwanafunzi au mwajiriwa wa mahali popote.
5.Awe na uwezo wa kufanya kazi bila usimamizi wa moja kwa moja.
6.Awe mkazi wa Dar es Salaam.
MSHAHARA:
Tsh 430, 000 kwa mwezi, na posho ya usafiri na chakula ya Tsh 8,500 kwa siku.
Kwa mwenye vigezo tafadhali tuma maombi yako kwa njia ya email ya asigwa@gmail.com ukiambatanisha Barua ya maombi pamoja na CV kabla ya tarehe 28 September mwaka huu 2018.
ANGALIZO:
Usitume nakala za vyeti vyako, kwani usahili utafanyika kwa awamu mbili.
Uwasilishwaji wa nakala za vyeti utafanyika wakati wa usahili tu.