Wanaharakati: Ziachieni simu za VodaCom!

Mkuu Mkjj naomba ufafanuzi ni wanaharakati gani unaozungumzia? Wanaharakati is a broad term. Mimi ambao ni mwanaharakati wa mazingira kwanini nitupe line? Na wale ambao ni wanaharakati wa haki za binadamu je?

Jamani kuna watu wanauliza maswali hadi unawashangaa uwezo wao wa kuchambua.
Hivi hili nalo ni swali unategemea ujibiwe na mmkjj?
Wewe kama ni mwanaharakati wa mazingira na unajua wapo wanaharakati wengine wengi tofauti tofauti as per your say sasa maswali haya ya nini? elewa kuwa wanaharakati. Kama ni wa kuponya uchumi na maisha yako sawa kama ni harakati za kuimaliza voda/RA nazo ni harakati lakini usiulize maswali yasiyo na kichwa wala miguu!
 
Ikiwezekana pia,maana kama anaweza kuwekea tundiko lake hapa na kuwaambia watu wasusie mtandao flani pia ana paswa kutuambia tuhamie mtandao upi ambao yeye anaona utatufaha.

Kesho atasema tuisusie JF twende mwanakijijiforums!!!!!!!
 
it is too late now but not too late enough.. Kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za vodacom asap. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning monday). Do it or be ready to live with the consequences.

Nilikuwepo.

M.m.


hizi line za vodacom niliziacha muda mrefu sana, unapokula kitu cha mwizi in direct na wewe unakuwa mwizi .
 
What is it about to happen? We need to know just for the sake of curiousity, kwani kubadilisha line ni kitu cha nusu dakika!
Lakini usianze kuwa kama mganga wa kienyeji.
We have a serious war to fight,
I hope you have not changed your strategy and has begin to look into personalities.
Have you identified some fisadis who are better than others and decided to remain on their good books???
i hope not and GOD FORBID!!!
 
Hii topic tuliijadili hapa kwa kirefu mwaka jana.

Kwa wale walioanza kutumia mitandao jana jana na wale ndugu na marafiki wa wakina RA hawa hawajui machungu ya mitandao kama ya Voda.

Mimi nilishajitoa voda siku nyingi pamoja na kujidai kwamba wao ndio wako kila sehemu nchi hii. Hili lilikuwapo miaka mingi imepita. Sasa hivi mitandao yote imejizatiti huko vijijini. Ukweli na sim kadi mbili za voda nilizowahi kuzimiliki hata namba zake sizikumbuki maana waliniboa kwanza kwa rates kubwa kupita kiasi.

Niliamua kubaki na line ya tigo na zain tu. Wengine hao ni fisadis including Zain .Hizo zingine nilishaachana nazo zamani. Wanaoendelea kubaki nazo nawahurumia. Nawashangaa hata kwa utetezi wao usiokuwa na maana. Una maana kama ni sehemu ya ufisadi huo. Na kwa taarifa yao kugomea bidhaa ni silaha iliyowahi kufanikiwa duniani hapa dhidi ya madhalimu. VodaCom Afrika kusini ni moja ya walioonja joto hiyo.

Jamani tugomee bidhaa zote zitokanazo na mafisadi.

tehe tehe tehe! mi voda yangu kazi yake ni kubeep na kupokea msgs tu...
 
zamani mtu akifanya kitu cha kukuboa au akifanya kitu ambacho unaona kabisa kwanini hakufikiria.. tulikuwa tunasema "mijitu mingine".. sasa sijaelewa kimalizio cha hiyo kauli huwa ni nini maana karibu mara zote huachwa inaning'inia...
 
Tunadanganyika, tunagombana wenyewe kwa wenyewe, wenye mali wanatuibia kimasomaso, sisi tunapigana vikumbo, Ati UMETUMWA!

Mnapoambiwa ukweli mnaukataa, halafu baadaye mtalalama.

Hivi mwajua myasemalo?

Divide and Rule!
 
tehe tehe tehe! mi voda yangu kazi yake ni kubeep na kupokea msgs tu...

baada ya kujiunga na LUKU, nimegundua kuwa kumbe gharama za umeme ni rahisi sana ukilinganisha na gharama za simu hasa kawa wewe uko tigo, zain ukipiga vodacom maumivu utakayoyapata ni mungu anajua!

umeme wa shs 10000 including charge za viewura na vat!! unaweza kutumia kwa siku zaidi ya kumi tena wewe na familia yako!

sasa hawa vodacom, zain na kwa unafuu kidogo wa tigo mbona wanatuumiza hivyo watanzania???

Nini kifanyike?

Mimi ninakubaliana na wanaosema watz wanaotumia mobile ambazo kwa sASA ZIMEFIKA MILIONI 13!!! wote tuamue kujiunga na kampuni moja ambayo ni nafuuu! then hao wengine watajirudi tu!

LAKINI TUKISUBIRI ETI BUNGE AU SERIKALI IJE IREKEBISHE HIZI GHARAMA HAITATOKEA.

KUNA WAKATI FULANI TUME YA MAWASILIANO ILIJARIBU KUTAKA GHARAMA ZIPINGUE NINADHANI NI MWAKA 2005 AU 2005 KARIBIA NA XMAS.

HAO WENYE KAMBPUNI WLIENDA KWA MKAPA AKIWA MTWARA NAYE AKAKUBALIANA NAO KUWA WAENDELEE KUTUKAMUA KWA GHARAMA YA JUU ZAIDI!!
 
Nilichomwelewa Mwanakijiji hapa kama nitakosea anikosoe ni kwamba, anawaonya wanaharakati walio katika mapambano dhidi ya ufisadi juu ya kutumia mtandao wa Vodacom huenda kuna namna imetengenezwa kuwanasa na kuna mkuu mmoja hapa amedokeza kuwa kuna mitambo ya kunasa maongezi ya watu huko kwa DCP, IGP n.k. Sasa hapa sijaelewa kama hivyo vinasa maongezi ni kwa ajili ya mtandao wa Vodacom tu au ni mitandao yote. Mwanakijiji tafadhali tunaomba maelezo zaidi.

Hapa ndo nimemuelewa MM alikuwa na mana gani
 
Uzuri nina line zote 3 ie voda,tigo na zain when it comes to unreliability VODA baada ya kuingiza mambo ya cheka ni issue nimereport several times wananiambia tutashugulikia.
Wanabahati voda ni ya kiofisi otherwise ningeliitupilia mbali kabsaaa kwa sababu mbili moja ikiwa unreliability na ya pili gharama za kupiga to other networks.
Niko confortable zaidi na TIGO NA ZAIN kuliko VODA tena ukiangalia nimepunguza matumizi kutoka laki 7 kwa mwezi mpaka 250,000tshs kwa mwezi zingine nahamishia TIGO NA ZAIN.
I only retain voda bse of my customers otherwise it would have been in a recycle bin
 
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.

Nilikuwepo.

M.M.


quote_icon.png
Originally Posted by rmashauri
Nilichomwelewa Mwanakijiji hapa kama nitakosea anikosoe ni kwamba, anawaonya wanaharakati walio katika mapambano dhidi ya ufisadi juu ya kutumia mtandao wa Vodacom huenda kuna namna imetengenezwa kuwanasa na kuna mkuu mmoja hapa amedokeza kuwa kuna mitambo ya kunasa maongezi ya watu huko kwa DCP, IGP n.k. Sasa hapa sijaelewa kama hivyo vinasa maongezi ni kwa ajili ya mtandao wa Vodacom tu au ni mitandao yote. Mwanakijiji tafadhali tunaomba maelezo zaidi.

Uzuri nina line zote 3 ie voda,tigo na zain when it comes to unreliability VODA baada ya kuingiza mambo ya cheka ni issue nimereport several times wananiambia tutashugulikia.
Wanabahati voda ni ya kiofisi otherwise ningeliitupilia mbali kabsaaa kwa sababu mbili moja ikiwa unreliability na ya pili gharama za kupiga to other networks.
Niko confortable zaidi na TIGO NA ZAIN kuliko VODA tena ukiangalia nimepunguza matumizi kutoka laki 7 kwa mwezi mpaka 250,000tshs kwa mwezi zingine nahamishia TIGO NA ZAIN.
I only retain voda bse of my customers otherwise it would have been in a recycle bin



Mkuu soma between lines kwa MM na ramashauri
 
quote_icon.png

kunasa maongezi ya watu huko kwa DCP, IGP "


Mkuu Kings of Kings
Kwa maelekezo yako nafikiri umeweka mambo sawa nikwa wanaharakati tu. Kama sio mwanaharakati huna haja ya kuofia kitu. Mambo mengine ya garama na unapatikanaji wa huduma ni mambo ya mtu binafsi.
 
Back
Top Bottom