Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,918
- 32,335
Wanaukumbi.
Hawa wanaojiita wanaharakati wengi wao ni waganga njaa wanasema Rais analindwa na ulinzi wa kidikteta daaah wamekosa agenda kwa hiyo walitaka alindwe na mgambo au Sungusungu ndiyo wafurahi.
Wanajiita wanaharakati za haki za binadamu lakini kwenye ulinzi wa Rais wanaonyesha chuki ya wazi Rais pia anayo haki ya kulindwa. Kama nyie mnajilinda mkiwa mmejifungia majumbani kwenu mnaendesha mikutano yenu #Space huku mnakunywa wisk.
Hawafahamu hata protocol za ulinzi wa Rais Watanzania tuwe makini sana na hawa wanaharakati kwanini wanaona tabu Rais kuwa na ulinzi. Rais kutokuwa na ulinzi, wanakosa nini? Rais kuwa na ulinzi! Ulinzi ni udikteta?
Hawa wanaojiita wanaharakati wengi wao ni waganga njaa wanasema Rais analindwa na ulinzi wa kidikteta daaah wamekosa agenda kwa hiyo walitaka alindwe na mgambo au Sungusungu ndiyo wafurahi.
Wanajiita wanaharakati za haki za binadamu lakini kwenye ulinzi wa Rais wanaonyesha chuki ya wazi Rais pia anayo haki ya kulindwa. Kama nyie mnajilinda mkiwa mmejifungia majumbani kwenu mnaendesha mikutano yenu #Space huku mnakunywa wisk.
Hawafahamu hata protocol za ulinzi wa Rais Watanzania tuwe makini sana na hawa wanaharakati kwanini wanaona tabu Rais kuwa na ulinzi. Rais kutokuwa na ulinzi, wanakosa nini? Rais kuwa na ulinzi! Ulinzi ni udikteta?