Wanaharakati wataka wanaume wawalipe mishahara wake zao

Baba yangu na mama yangu,walinisomesha alafu mshahara wangu upewe na wewe,kwani matumizi ya nyumbani sitoi? tuache utani kama watoto wenu wa kike waligoma kusoma wakachagua ngono basi ziambieni ngono ziwalipe mishahara na sio waume au huu ndio mbadala wa ukosefu wa ajira kwa wanawake? ,hii ndio 50 kwa 50?,na vipi kama mke ana kazi na mme hana,haki ya mwanaume ipo wapi? subirini kidogo watawazaa watoto wasio na baba zao.
 
Jaribio la mke kudai haki sawa kwenye ndoa ni sawa na kanali wa jeshi kudukuliwa akipanga namna ya kuchukua utawala. Adhabu yake inajulikana, lakn adhab ya mje mwaasi ni kujiandaa kumpga chini, anza kuhujum maendeleo ya famili, nunua kiwanja au panga na uachane na huyo mwehu kwa aman il adangf vyema
 
Waache kutuvurugia familia hao feminist. ...hizo tozo zinatutosha hatuhitaji tozo mpya kwa Sasa.
 
Mbn mnatuwomea sana ss wanaume
IMG_20211030_113220.jpg
 
Back
Top Bottom