Wanaharakati waandamane kumshinikiza Kikwete

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
Sielewi kwanini wanaharakati wanataka kuandamana kulilalamikia Bunge kuhusu suala la Richmond. Hadi hivi sasa Bunge na wabunge wamefanya kazi yao vizuri na kwa umahiri mkubwa. Wameenda hadi pale ambapo kimadaraka wamefikia mwisho wao. Sehemu inayofuatia ni sehemu ya Rais.

Ni sawasawa watu wanaofanya kazi kwa kupokezana; unalima kuanzia hapa hadi pale, halafu wengine wanachukua kuanzia hapa hadi pale hadi shamba linakwisha. Tangu mwanzo wa sakata la Richmond ni Bunge pekee ambalo limekuwa likilima na kulima weee huku Rais akiangalia pembeni kana kwamba shamba halimhusu!

Sasa wabunge wamefikia mahali na kusema tumelima tayari na tumejitahidi kulima wewe sasa tulipofikia panahitaji Rais naye alime.

Kinachonishangaza wanaharakati wanataka wabunge waendelee kulima tu hadi mwisho na wapande, kutia mbolea na kupalilia. Mwisho wake Rais aje avune na kupewa sifa jinsi shamba lilivyopendeza. Halatu atapita na kutaka kuonekana jinsi gani alisaidia kulima!!

Hivyo, maandamano dhidi ya Bunge na wabunge wapiganaji hayana maana kwani hadi hivi sasa hayajaangalia ukweli. Ukweli ni kwamba Bunge limefanya kazi yake na wanastahili maandamano ya kupongezwa. Anayehitaji kushinikizwa ni Rais kwani Bunge limemuachia kipande chake cha kulima.

Kipande hicho:
a. Kumuwajibisha Dr. Hosea wa PCCB
b. Kuhakikisha bilioni 30 walizopakuliwa Dowans/ Richmond zinarudishwa
c. Kutaifisha mitambo ya Dowans
d. Kuwawajibisha wengine ambao ameachiwa na Bunge kuwawajibisha
e. Kuliomba msamaha taifa kwa uzembe uliotokea ndani ya serikali yake na kuwapotezea muda wananchi.

Hizo ndizo sababu kiasi za kufanya maandamano; nje ya hapo ni kutaka kuandamana ili waoneshwe mwanasesere!
 
Mhh
Katika yote hayo mzee MM cha rahisi ni kipengele E . cha maajabu hicho kipengele ni kigumu zaidi kwa wanasiasasa wote duniani.

hapa tunabaki vingine vi 4. hivi wanamaehsabu bado wanafanya calcutaion ku PROVE wataalamu. Hesabu ngumu si wote tunajua if x= innocent ,y= ignorant z= guilty
where y= tanzanian calculate the value of x and y.

Kweli hili swali wa kulisolve ni mwalimu JK
 
wako wapi wakina okiya omtatah wetu..........kila mtu anamsukumia mwenzake kuanzisha maandaano............who dares?
 
Sielewi kwanini wanaharakati wanataka kuandamana kulilalamikia Bunge kuhusu suala la Richmond. Hadi hivi sasa Bunge na wabunge wamefanya kazi yao vizuri na kwa umahiri mkubwa. Wameenda hadi pale ambapo kimadaraka wamefikia mwisho wao. Sehemu inayofuatia ni sehemu ya Rais.

Ni sawasawa watu wanaofanya kazi kwa kupokezana; unalima kuanzia hapa hadi pale, halafu wengine wanachukua kuanzia hapa hadi pale hadi shamba linakwisha. Tangu mwanzo wa sakata la Richmond ni Bunge pekee ambalo limekuwa likilima na kulima weee huku Rais akiangalia pembeni kana kwamba shamba halimhusu!

Sasa wabunge wamefikia mahali na kusema tumelima tayari na tumejitahidi kulima wewe sasa tulipofikia panahitaji Rais naye alime.

Kinachonishangaza wanaharakati wanataka wabunge waendelee kulima tu hadi mwisho na wapande, kutia mbolea na kupalilia. Mwisho wake Rais aje avune na kupewa sifa jinsi shamba lilivyopendeza. Halatu atapita na kutaka kuonekana jinsi gani alisaidia kulima!!

Hivyo, maandamano dhidi ya Bunge na wabunge wapiganaji hayana maana kwani hadi hivi sasa hayajaangalia ukweli. Ukweli ni kwamba Bunge limefanya kazi yake na wanastahili maandamano ya kupongezwa. Anayehitaji kushinikizwa ni Rais kwani Bunge limemuachia kipande chake cha kulima.

Kipande hicho:
a. Kumuwajibisha Dr. Hosea wa PCCB
b. Kuhakikisha bilioni 30 walizopakuliwa Dowans/ Richmond zinarudishwa
c. Kutaifisha mitambo ya Dowans
d. Kuwawajibisha wengine ambao ameachiwa na Bunge kuwawajibisha
e. Kuliomba msamaha taifa kwa uzembe uliotokea ndani ya serikali yake na kuwapotezea muda wananchi.

Hizo ndizo sababu kiasi za kufanya maandamano; nje ya hapo ni kutaka kuandamana ili waoneshwe mwanasesere!

Inabidi kukubali tu...Miafrika Ndivyo Tul.....
 
Tatizo ni Katiba ipo very fragmentation na very distortation katika mambo mengi sana na pia kama ulivyosema kuwa JK ndiye anapaswa kumshinikiza maana yeye ndiye mkuu wa mambo yote haya na Hapa ndio tatizo la msingi linanzia mzee wangu Mwanakijiji
 
Rais inajulikana wazi kuwa maamuzi mazito hawezi kuyafanya. Bunge limethubutu kwa kiasi chake hivyo wanaharakati kwa kweli wanahitajika kuwapongeza, lakini pia kuwakumbusha kuwa watu wagetegemea mambo makubwa zaidi kutoka kwao. Kama walijua toka mwanzo kuwa hawana uwezo au mamlaka yao hayaendi zaidi ya hapo walikofikia, kwanini warefushe mjadala kwa zaidi ya miaka miwili ndipo wazimike, tena ghafla kama mshumaa?
Yafaa wakumbushwe kuwa wao na Rais ni waajiriwa wetu na njia mojawapo ya kufikisha ujumbe huo aidha ni shinikizo kwa njia ya maandamano au kupitia sanduku la kura.
 
Ingekuwa katika Mataifa mengine kwa suala la Richmond tu serikali iliyopo isingeweza kurudi madarakani na kama kuna mfumo wa vyama dhabiti, Ila kwetu sisi Tanzania, Vyama dhaifu na serikali dhaifu hivyo hivyo na vice versa pia
 
Sielewi kwanini wanaharakati wanataka kuandamana kulilalamikia Bunge kuhusu suala la Richmond. Hadi hivi sasa Bunge na wabunge wamefanya kazi yao vizuri na kwa umahiri mkubwa. Wameenda hadi pale ambapo kimadaraka wamefikia mwisho wao. Sehemu inayofuatia ni sehemu ya Rais.

Ni sawasawa watu wanaofanya kazi kwa kupokezana; unalima kuanzia hapa hadi pale, halafu wengine wanachukua kuanzia hapa hadi pale hadi shamba linakwisha. Tangu mwanzo wa sakata la Richmond ni Bunge pekee ambalo limekuwa likilima na kulima weee huku Rais akiangalia pembeni kana kwamba shamba halimhusu!

Sasa wabunge wamefikia mahali na kusema tumelima tayari na tumejitahidi kulima wewe sasa tulipofikia panahitaji Rais naye alime.

Kinachonishangaza wanaharakati wanataka wabunge waendelee kulima tu hadi mwisho na wapande, kutia mbolea na kupalilia. Mwisho wake Rais aje avune na kupewa sifa jinsi shamba lilivyopendeza. Halatu atapita na kutaka kuonekana jinsi gani alisaidia kulima!!

Hivyo, maandamano dhidi ya Bunge na wabunge wapiganaji hayana maana kwani hadi hivi sasa hayajaangalia ukweli. Ukweli ni kwamba Bunge limefanya kazi yake na wanastahili maandamano ya kupongezwa. Anayehitaji kushinikizwa ni Rais kwani Bunge limemuachia kipande chake cha kulima.

Kipande hicho:
a. Kumuwajibisha Dr. Hosea wa PCCB
b. Kuhakikisha bilioni 30 walizopakuliwa Dowans/ Richmond zinarudishwa
c. Kutaifisha mitambo ya Dowans
d. Kuwawajibisha wengine ambao ameachiwa na Bunge kuwawajibisha
e. Kuliomba msamaha taifa kwa uzembe uliotokea ndani ya serikali yake na kuwapotezea muda wananchi.

Hizo ndizo sababu kiasi za kufanya maandamano; nje ya hapo ni kutaka kuandamana ili waoneshwe mwanasesere!

Heshima kwako Mzee Mwanakijiji,

Naomba kukubaliana na mawazo yako kwa asilimia 100 %,lakini lazima nikiri kwamba mimi ni miongoni mwa maelfu ya watanzania tuliokuwa tukifikiri Bunge bado lilikuwa na kazi KUBWA ya kufanya kuhusiana na sakata zima la RICHMOND.

 
Msingi wa kwanza wa kuwa na vyama dhaifu ambayo huzaa serikali dhaifu pia ni ukosefu wa elimu ya uraia. Ukosefu huu wa elimu ya uraia huzaa ukosefu wa uzalendo, na ukosefu wa uzalendo huzaa ukosefu wa uthubutu hasa wa mambo yanayodhaniwa kuwa magumu. Yote haya kwa Watanzania ni tatizo ambalo kimsingi hatulioni, na kama tunaliona basi tunashindwa namna ya kulikabili kwani tumeshazaa umimi/ubinafsi(mjukuu wa elimu ya uraia).
 
Sielewi kwanini wanaharakati wanataka kuandamana kulilalamikia Bunge kuhusu suala la Richmond. Hadi hivi sasa Bunge na wabunge wamefanya kazi yao vizuri na kwa umahiri mkubwa. Wameenda hadi pale ambapo kimadaraka wamefikia mwisho wao. Sehemu inayofuatia ni sehemu ya Rais.

Ni sawasawa watu wanaofanya kazi kwa kupokezana; unalima kuanzia hapa hadi pale, halafu wengine wanachukua kuanzia hapa hadi pale hadi shamba linakwisha. Tangu mwanzo wa sakata la Richmond ni Bunge pekee ambalo limekuwa likilima na kulima weee huku Rais akiangalia pembeni kana kwamba shamba halimhusu!

Sasa wabunge wamefikia mahali na kusema tumelima tayari na tumejitahidi kulima wewe sasa tulipofikia panahitaji Rais naye alime.

Kinachonishangaza wanaharakati wanataka wabunge waendelee kulima tu hadi mwisho na wapande, kutia mbolea na kupalilia. Mwisho wake Rais aje avune na kupewa sifa jinsi shamba lilivyopendeza. Halatu atapita na kutaka kuonekana jinsi gani alisaidia kulima!!

Hivyo, maandamano dhidi ya Bunge na wabunge wapiganaji hayana maana kwani hadi hivi sasa hayajaangalia ukweli. Ukweli ni kwamba Bunge limefanya kazi yake na wanastahili maandamano ya kupongezwa. Anayehitaji kushinikizwa ni Rais kwani Bunge limemuachia kipande chake cha kulima.

Kipande hicho:
a. Kumuwajibisha Dr. Hosea wa PCCB
b. Kuhakikisha bilioni 30 walizopakuliwa Dowans/ Richmond zinarudishwa
c. Kutaifisha mitambo ya Dowans
d. Kuwawajibisha wengine ambao ameachiwa na Bunge kuwawajibisha
e. Kuliomba msamaha taifa kwa uzembe uliotokea ndani ya serikali yake na kuwapotezea muda wananchi.

Hizo ndizo sababu kiasi za kufanya maandamano; nje ya hapo ni kutaka kuandamana ili waoneshwe mwanasesere!

MM, ni kama ulikuwa akilini kwangu,mimi nimejiuliza sana kuhusu hawa wana harakati uelewa wao wa hayo mambo wanayotakiwa kuyapigania,Bunge limefanya sana kazi yake tena nzuri sana na ya kuigwa katika jamii yetu na hapa lazima tumpongeze Mh mzee 6 kwa ujasiri wake wa kusimamia kile ambacho anakiamini,tatizo letu sisi watanzania tunapenda sana kufanyiwa,kwanini tusiamke tukafanya wenyewe?Haki yetu hakuna atakaye tuletea mezani,lazima tuidai wenyewe kwa maandamano na kwenye Balot BOX.

USHAURI KWA WANA HARAKATI NA VIONGOZI WA UPINZANI.

Tuongozeni kishinikiza serikali kutekeleza maazimio ya bunge na sio kuandamana kulipinga bunge.
 
Sielewi kwanini wanaharakati wanataka kuandamana kulilalamikia Bunge kuhusu suala la Richmond. Hadi hivi sasa Bunge na wabunge wamefanya kazi yao vizuri na kwa umahiri mkubwa. Wameenda hadi pale ambapo kimadaraka wamefikia mwisho wao. Sehemu inayofuatia ni sehemu ya Rais.

Ni sawasawa watu wanaofanya kazi kwa kupokezana; unalima kuanzia hapa hadi pale, halafu wengine wanachukua kuanzia hapa hadi pale hadi shamba linakwisha. Tangu mwanzo wa sakata la Richmond ni Bunge pekee ambalo limekuwa likilima na kulima weee huku Rais akiangalia pembeni kana kwamba shamba halimhusu!

Sasa wabunge wamefikia mahali na kusema tumelima tayari na tumejitahidi kulima wewe sasa tulipofikia panahitaji Rais naye alime.

Kinachonishangaza wanaharakati wanataka wabunge waendelee kulima tu hadi mwisho na wapande, kutia mbolea na kupalilia. Mwisho wake Rais aje avune na kupewa sifa jinsi shamba lilivyopendeza. Halatu atapita na kutaka kuonekana jinsi gani alisaidia kulima!!

Hivyo, maandamano dhidi ya Bunge na wabunge wapiganaji hayana maana kwani hadi hivi sasa hayajaangalia ukweli. Ukweli ni kwamba Bunge limefanya kazi yake na wanastahili maandamano ya kupongezwa. Anayehitaji kushinikizwa ni Rais kwani Bunge limemuachia kipande chake cha kulima.

Kipande hicho:
a. Kumuwajibisha Dr. Hosea wa PCCB
b. Kuhakikisha bilioni 30 walizopakuliwa Dowans/ Richmond zinarudishwa
c. Kutaifisha mitambo ya Dowans
d. Kuwawajibisha wengine ambao ameachiwa na Bunge kuwawajibisha
e. Kuliomba msamaha taifa kwa uzembe uliotokea ndani ya serikali yake na kuwapotezea muda wananchi.

Hizo ndizo sababu kiasi za kufanya maandamano; nje ya hapo ni kutaka kuandamana ili waoneshwe mwanasesere!

Mkulu nimekugongea thenksi.
Points kwa mwanasiasa mkweli katika harakati za kutaka nafasi,aziingize na kuzifanyia kazi.
Ila wa tz tunapenda vyepesi vyepesi muno.
 
Sina hakika kama JK anaogopa maandamano, manake atatoa his magic smile and fool and joke about everything! Hapa uzalendo unahitajika. Ajitoe great thinker mmoja (manake Zitto naona ndo basi tena), JF yoote tum-support na ndo awe catalyst. ( I am even upset with myself for not doing anything.....!)
 
Watu watafanya maandamao lakini no any action will be taken...siamini
Kawaida ni kama mazoea ..kwetu kuko shwari kila kitu tambarareeeeee
 
Uanaharakati nchini Tanzania ni aina fulani ya ajira ya kujipatia ruzuku na misaada kutoka nje kwa ajili ya kujikimu. Sidhani kwamba wana nia hasa ya kuwa 'Wanaharakati' wa kweli.
 
"miafrika ndivyo tulivyo"

Na sasa mambo ndo hayo yameiva, JK ndo huyo anaingia kumalizia ngwe yake ya mwisho. Ili mrithi wake naye aje aseme "mwacheni mzee wetu apumzike"
 
Sielewi kwanini wanaharakati wanataka kuandamana kulilalamikia Bunge kuhusu suala la Richmond. Hadi hivi sasa Bunge na wabunge wamefanya kazi yao vizuri na kwa umahiri mkubwa. Wameenda hadi pale ambapo kimadaraka wamefikia mwisho wao. Sehemu inayofuatia ni sehemu ya Rais.

Ni sawasawa watu wanaofanya kazi kwa kupokezana; unalima kuanzia hapa hadi pale, halafu wengine wanachukua kuanzia hapa hadi pale hadi shamba linakwisha. Tangu mwanzo wa sakata la Richmond ni Bunge pekee ambalo limekuwa likilima na kulima weee huku Rais akiangalia pembeni kana kwamba shamba halimhusu!

Sasa wabunge wamefikia mahali na kusema tumelima tayari na tumejitahidi kulima wewe sasa tulipofikia panahitaji Rais naye alime.

Kinachonishangaza wanaharakati wanataka wabunge waendelee kulima tu hadi mwisho na wapande, kutia mbolea na kupalilia. Mwisho wake Rais aje avune na kupewa sifa jinsi shamba lilivyopendeza. Halatu atapita na kutaka kuonekana jinsi gani alisaidia kulima!!

Hivyo, maandamano dhidi ya Bunge na wabunge wapiganaji hayana maana kwani hadi hivi sasa hayajaangalia ukweli. Ukweli ni kwamba Bunge limefanya kazi yake na wanastahili maandamano ya kupongezwa. Anayehitaji kushinikizwa ni Rais kwani Bunge limemuachia kipande chake cha kulima.

Kipande hicho:
a. Kumuwajibisha Dr. Hosea wa PCCB
b. Kuhakikisha bilioni 30 walizopakuliwa Dowans/ Richmond zinarudishwa
c. Kutaifisha mitambo ya Dowans
d. Kuwawajibisha wengine ambao ameachiwa na Bunge kuwawajibisha
e. Kuliomba msamaha taifa kwa uzembe uliotokea ndani ya serikali yake na kuwapotezea muda wananchi.

Hizo ndizo sababu kiasi za kufanya maandamano; nje ya hapo ni kutaka kuandamana ili waoneshwe mwanasesere!




Waandamane kwa lipi hasa,
 

Heshima kwako Mzee Mwanakijiji,

Naomba kukubaliana na mawazo yako kwa asilimia 100 %,lakini lazima nikiri kwamba mimi ni miongoni mwa maelfu ya watanzania tuliokuwa tukifikiri Bunge bado lilikuwa na kazi KUBWA ya kufanya kuhusiana na sakata zima la RICHMOND.


Waziri Mkuu akajiuzulu, baraza la mawaziri likavunjika, uchunguzi ukafunua siri za hiyo Richmond.. kilichobakia niicha Rais...
 
Back
Top Bottom