MIDFIELD
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,944
- 701
Wana JF napenda kuwauliza hawa watu wanaojiita wanaharakati za binadamu kwamba Ponda hawahusu?? Au Sheikh Ponda anastahili kupigwa risasi??
Nauliza hivi kwa sababu wanaharakati hawa wakiongozwa na Bi Kijo Bisimba inapotokea uvunjifu wa haki kama alivyofanyiwa Ponda huwa wepesi sana kama sio wa kwanza kabisa kuyatolea matamko makali na kuyalaani kwa nguvu zote na kuishutumu Siri Kali.
Kwa hili naona wapo kimya! Au wanaona sawa? kama wanaona sawa basi angalau watoe tamko la kuipongeza Siri Kali
Nauliza hivi kwa sababu wanaharakati hawa wakiongozwa na Bi Kijo Bisimba inapotokea uvunjifu wa haki kama alivyofanyiwa Ponda huwa wepesi sana kama sio wa kwanza kabisa kuyatolea matamko makali na kuyalaani kwa nguvu zote na kuishutumu Siri Kali.
Kwa hili naona wapo kimya! Au wanaona sawa? kama wanaona sawa basi angalau watoe tamko la kuipongeza Siri Kali