Wanaharakati Helen Kijo-Bisimba na Ananilea Nkya wakamatwa na polisi

Status
Not open for further replies.
kamata kamata ndicho inachokiweza serikali kufanya haraka haraka...mgomo wa madaktari na wenyewe ungeshugulikiwa kwa kasi hii...
 
Hao wanaokamatwa ni Lawyers. Na ndiyo hao watakao ishtaki serkali kwa kunyima haki ya kikatiba.
 
Kuna habari kuwa Polisi wamewakamata wanaharakati walioanzisha maandamano jana ya kuishinikiza serikali kuongea na madaktari. Wamewakamatia Muhimbili wakati madaktari wakiwa kwenye kikao na waziri mkuu.
 
attachment.php
 
wakati mwingine na sisi tukomae tuingie brbrn
yatimie yale ya kwa gaddaf sasa.
 
Wakome kupandia migongo ya wagonjwa! waliondamana jana jana wote wana mishahara,

kweli we watu ahaa nimekosea we kweli kiatu ahaa nimekosea wewe utakuwa una maana yako kusema mambo haya
 
kuwakamata watu hawa ni kutafuta matatizo makubwa zaidi kwani wao wameonyesha ujasiri ambao sisi watanzania tulitakiwa kuuonyesha tangu mwanzo kabisa wa sakata hili. Nawashauri polisi wawaachie kwani wanaweza kusababisha balaa zaidi
 
si sababu ya siri siri zao - nani alijua WM anakutana na madaktari - after all kushinikiza serikali ifumue kichwa chake na kuokota kabusara kale kadogo ka kuwa na dialogue, so much over due, na madaktari kuna ubaya gani!!!!!!!
 
Nadhani bado tuna nafasi ya kuitaka serikali iwajibike pamoja na viongozi wake hasa waziri wa afya...kuwakamata akina bi-simba ni janja ya kutaka kuwanyamazisha hivyo naomba tuwe kitu kimoja mara watokapo mchakato uendelee....NATAMANI TUNGEFIKIA KAMA MISRI MAANA HAIWEZEKANI MKUU WA NCHI HAONI TATIZO LA WATU KUFA na wala hagusi na watumishi wake wazembe....angechukua hataua mapema wala maafa haya yasingetokea....yaani wamekubali raia wafe kwa ajili ya 10000?
 
Mama zangu kejo bisimba,mama nkya kaza buti.nyie ni wamojawapo wa wasomi wa nch hii wasio wanafiki.moto wenu tunausapoti na tutawaunga mkono kwa harakat zenu. Angalizo, naisi watu wa dar ni wanafiki sana.mageuz/mapinduz ya kweli yangeanzia hapo dar. Kaz ya dar isiwe kunywa kahawa,kupigwa mabomu na mafuriko bali wawe chachu ya mabadiliko
 
watawahoji na kuwaachia naamin hvyo wakitaka mabaya zaidi wawafungulie mashtaka.
 
naomba wawahoji na kuwaachia mapema maana wakiwalaza tu yanaweza tokea mengine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom