Wanahabari walia na waajiri kutopeleka michango mifuko ya hifadhi ya jamii

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,325
6,864
Giza limetanda sekta ya habari wana habari hususani wa sekta binafsi walia na waajiri kitopeleka michango katika mifuko ya hifadhi ya Jamii e.g (Nssf).
Mbunge Ester Bulaya ambae kitaaluma ni mwanahabari pia, juzi bungeni aliuliza swali dogo la nyongeza kuhusu kilio cha wana habari kutokuwekewa michango katika mfuko wa hifadhi ya jamii na waajiri wao.

Je hili limechangiwa kwa kiasi kikubwa na kuyumba kwa sekta ya habari nchini ?
 
Giza limetanda sekta ya habari wana habari hususani wa sekta binafsi walia na waajiri kitopeleka michango katika mifuko ya hifadhi ya Jamii e.g (Nssf).
Mbunge Ester Bulaya ambae kitaaluma ni mwanahabari pia, juzi bungeni aliuliza swali dogo la nyongeza kuhusu kilio cha wana habari kutokuwekewa michango katika mfuko wa hifadhi ya jamii na waajiri wao.

Je hili limechangiwa kwa kiasi kikubwa na kuyumba kwa sekta ya habari nchini ?
Easter Bulaya gani tena?
 
Bunge na huyo Bulaya wakumbuke ile sheria kandamizi ya fao za kujitoa kwenye mifuko ya jamii ni kandamizi zaidi. Waifute waifute.

Yaani, hiyo ya waajiri kula pesa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii wana watu wanakula nao hizo pesa ndiyo maana hawaguswi.

Tuna wezi kwenye taasisi binafsi wanashirikiana na wafanyakazi wa mifuko hiyo kama NSSF
 
Kiini cha habari ni kilio cha wanahabari juu ya michango yao ktk.mifuko ya hifadhi.


Sasa ww una hoji chama cha mbunge ?
Ni muhimu sana kujua Chama maana mule kuna wabunge haramu... Sasa kama mbuzi hajachinjwa (haramu) na nyama yake pia (habari) ni haramu na haina mashiko.
 
Waandishi wa habari wepi?Huwezi kuwa mwandishi wa habari bila kusomea hiyo taaluma.Utakuwa daktari bila ya kusomea udaktari.? Ni Tanzania tu tuna so called journalists.
Nitajieni ni asilimia ngapi ya (wanahabari) wamesomea taaluma hii ya habari.
Mnawalaumu hawawezi kuchambua na kuuliza maswali magumu kwa sababu hawajui cha kuchambua wala cha kuuliza.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom