Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa jamiiforums
Ndugu zangu watanzania;
Je, ni neno lipi la Kiswahili sanifu huanza kwa consonant "C" na vowel yoyote ile kama "O"? Virusi wale ni sahihi kuwaandika Corona au Korona?
Kwa kawaida ya uandishi wa lugha hii ya Kiingereza maneno yanayotamkika kwa consonant "C" katika Kiswahili huandikwa kwa Consonant "K". Mfano neno "Cairo".
Cairo ni mji mkuu wa nchi ya Misri mara nyingi limekuwa likiandikwa kama "Kairo" katika magazeti na machapisho mbalimbali ya lugha ya Kiswahili.
Kama tuliweza kutohoa neno "pneumonia" na kuwa linaandikwa kama "Nimonia" kwa kuwa tulifahamu fika kwamba mpangilio wa futuatana wa consonat "ph" sio mlolongo sahihi katika kuunda neno la kiswahili, kwanini "Corona" bado haijarasimishwa na wanahabari ili lile linaandikwa kwa usahihi wake kama "Korona"?
NJE YA MADA KIDOGO: Alafu lile neno "MBASHARA" linayoandikwa na TBC ARIDHIO muda wa tarifa za habari jioni ni sahihi ama linapaswa kusomeka kama MUBASHARA? Kuna herufi "U" inasahaulika katikati ya herufi za M na B au mimi ndio mshamba?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndugu zangu watanzania;
Je, ni neno lipi la Kiswahili sanifu huanza kwa consonant "C" na vowel yoyote ile kama "O"? Virusi wale ni sahihi kuwaandika Corona au Korona?
Kwa kawaida ya uandishi wa lugha hii ya Kiingereza maneno yanayotamkika kwa consonant "C" katika Kiswahili huandikwa kwa Consonant "K". Mfano neno "Cairo".
Cairo ni mji mkuu wa nchi ya Misri mara nyingi limekuwa likiandikwa kama "Kairo" katika magazeti na machapisho mbalimbali ya lugha ya Kiswahili.
Kama tuliweza kutohoa neno "pneumonia" na kuwa linaandikwa kama "Nimonia" kwa kuwa tulifahamu fika kwamba mpangilio wa futuatana wa consonat "ph" sio mlolongo sahihi katika kuunda neno la kiswahili, kwanini "Corona" bado haijarasimishwa na wanahabari ili lile linaandikwa kwa usahihi wake kama "Korona"?
NJE YA MADA KIDOGO: Alafu lile neno "MBASHARA" linayoandikwa na TBC ARIDHIO muda wa tarifa za habari jioni ni sahihi ama linapaswa kusomeka kama MUBASHARA? Kuna herufi "U" inasahaulika katikati ya herufi za M na B au mimi ndio mshamba?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.