Wanahabari muonyeshe pia picha zote za polisi, sio kuficha zingine

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,749
48,361
23130893_1028240767338988_1991313452716095537_n.jpg
 
Uko kwenu Kenya mtamfanyia hivyo askari....naskia huwa mpka mnawakunjaa na kuwafanya mtakavyo...hongereni sanasana
Sisi huku kwetu TZ huwa hatuna demokrasia...ukimfanyia hivyo askari utajuuutraaaa.....utakula marungu na vipepsi+mashutii utaomba pooooo..
zitakuja gari kma 100 hv Za FFU kumpa kipondo mtu mmoja tu....
Hongereni kwa kuwaburuza polisi huwa wanaboa sanaa hao
 
Uko kwenu Kenya mtamfanyia hivyo askari....naskia huwa mpka mnawakunjaa na kuwafanya mtakavyo...hongereni sanasana
Sisi huku kwetu TZ huwa hatuna demokrasia...ukimfanyia hivyo askari utajuuutraaaa.....utakula marungu na vipepsi+mashutii utaomba pooooo..
zitakuja gari kma 100 hv Za FFU kumpa kipondo mtu mmoja tu....
Hongereni kwa kuwaburuza polisi huwa wanaboa sanaa hao

kweli somo la uraia linahitajika. yaani kumkunja askari ndo demokrasia.
weee mwenyewe hapo mtu akikukunja utamchekea??
jamani tutumie vizuri basi uwezo wetu wa kufikiri.
 
These idiots are breaking into people's homes, beating them to death, raping women and using live ammunition protesters. Ukiwaletea adui wa kweli, al kebab, hawapo. Which "real " picture are you referring to?
 
Uko kwenu Kenya mtamfanyia hivyo askari....naskia huwa mpka mnawakunjaa na kuwafanya mtakavyo...hongereni sanasana
Sisi huku kwetu TZ huwa hatuna demokrasia...ukimfanyia hivyo askari utajuuutraaaa.....utakula marungu na vipepsi+mashutii utaomba pooooo..
zitakuja gari kma 100 hv Za FFU kumpa kipondo mtu mmoja tu....
Hongereni kwa kuwaburuza polisi huwa wanaboa sanaa hao
Nchi gani kati ya kenya na tz inaongoza kwa askari kuua wananchi wa kawaida?
 
mpk nijue amembeba anampeleka wapi...hao watu hawaaminiki
Nahisi wanaelekea lodge,hyo facial expression ya huyo dada inaleta ukakasi kidogo,hayo macho alivyoyafumba na mdomo alivyouweka utafikiri amekalia something cylindlical.
 
Nahisi wanaelekea lodge,hyo facial expression ya huyo dada inaleta ukakasi kidogo,hayo macho alivyoyafumba na mdomo alivyouweka utafikiri amekalia something cylindlical.

Alikua anamuondoa kwenye vurugu LA mabomu ya machozi baada ya makabiliano baina ya polisi na waporaji kwenye mtaa unaoitwa Kawangware
 
Back
Top Bottom