Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
gazeti la majira....la leo tarehe 25-5-2012.....limeripoti kuwa ngono nje nje na ukahaba.....kwa wanafunzi wa
kike wa chuo kikuu cha udsm ya kwamba wanafunzi wengi wa kike.....wamejiingiza katika soko la kujiuza miili
yao....na hii ni kutokana na wengi kukosa mikopo....na fedha ya kujikimu na .............utafiti huu uliofanywa na
majira wanafunzi hawa hujiuza maeneo moja ni baa maruufu ambazo ni moja ipo maeneo,,,.....moja ni baa moja ya chuoni hapohapo,nyingine ipo mabibo,nyingine ipo upanga........ambazo hakupenda kuzitaja majina.....ila alisema maeneo wanapopatikana
source majira
kike wa chuo kikuu cha udsm ya kwamba wanafunzi wengi wa kike.....wamejiingiza katika soko la kujiuza miili
yao....na hii ni kutokana na wengi kukosa mikopo....na fedha ya kujikimu na .............utafiti huu uliofanywa na
majira wanafunzi hawa hujiuza maeneo moja ni baa maruufu ambazo ni moja ipo maeneo,,,.....moja ni baa moja ya chuoni hapohapo,nyingine ipo mabibo,nyingine ipo upanga........ambazo hakupenda kuzitaja majina.....ila alisema maeneo wanapopatikana
source majira