Wanafunzi wenye UKIMWI Kibaha wawekewa Label!

What a misconception!! Huo ni upotoshaji.
Hii taratibu si kuhusu HIV. Ni utaratibu upo muda mrefu tangu tunakua wengine. Mi nakumbuka sie primary watu walikuwa wanawekewa label ili wasipewe adhabu ama shughuli ambazo kiafya wameshauriwa wasifanye na madaktari. And it was quite okay.

Mi kwa mfano,nlikua na allergy,yani nkinusa vumbi tu ujue ntaumwa hadi kulazwa.so nikawekewa label kwa hiari ya mzazi wangu na hivyo nkawa sifagii wala kudeki shule hata aje mke wa rais kututembelea.

Kwa hivyo huyo anayesema ni ukimwi anapotosha sababu usually ugonjwa hauwekwi hadharani na ni mwalimu husika tu anayeidhinisha ndo anajua,tena si kwa kuambiwa ugonjwa bali kwa note ya daktari inayoeleza hivyo.
 
Kwa maana hiyo riboni anawekewa mwanafunzi mwenye ugonjwa wowote na sio ukimwi. Isije kuwa ni kuwanyanyapa badala ya kuwasaidia

hata kama ni kuwasaidia, mbona wao wazazi na walimu hawaombi kuwekewa riboni ili wapunguziwe kazi? Kwani ukiwa na list ya majina ukawaita pembeni kuna tatizo gani? Huu ni unyanyapaa wa wazi wazi ambao unahusisha walimu na wazazi. Lazima jamii itambue kuwa unyanyapaa ndo uliotufikisha huku kwanai kuna watu walikuwa wanajisikia vibaya wakigundua wako positive hivo wakaanza kampeni ya kuambukiza mabinti wadogo. Unyanyapaa ni vita iliyobaki kwenye mapambano na hiv. Watu wengi wanaogopa kwenda kupima na kusubiri mpaka waugue ndo wanatambulika. Ukienda botswana huwezi kuta wagonjwa wenye stage mbaya ya hiv kama huku kwetu coz wanapima mapema na kuanza dawa mapema. Hii ni kwa sababu ya kupungua kwa unyanyapaa na awarenes kuwa juu.
 
Ungeeleza umesikia wapi tungesaidia kutafuta infos.


Tanzania anger over red ribbon labels for HIV pupils




_59088346_dscn3287.jpg


Pupils wearing ribbons are excused from chores like fetching water.

Campaigners in Tanzania have criticised some schools for making HIV-positive pupils wear a red ribbon on their uniforms.

The headmaster of one school told the BBC it was done at the parents' request to ensure that all sickly pupils do not do tasks that may affect their health.

But such stigmatisation was against the law, punishable by up to three years in jail, a campaign group warned.
The health minister has said he cannot comment until it is investigated.

According to UNAids, about 5% of the population - 1.4m people - in the East African nation are living with HIV.

'Confidential'

The BBC's Aboubakar Famau in the main city of Dar es Salaam says activists have reacted with horror to the labelling of pupils in the Kibaha district.


They believe at least seven schools in the area, about 40km (25 miles) north-west of Dar es Salaam, are using the ribbon system.

"They are only doing that because they want to identify those who are HIV-positive," said Jane Tibihita, a co-ordinator of Upendo Partnership, a local campaign group.

Rebecca Mshumbusi, chairperson of the Kibaha Association of People Living with HIV/Aids, said it was unethical to reveal a person's health status in public.

"The information of one's sickness is confidential unless if one decides to share it with others. There are laws that can punish those revealing other's health status," she told the BBC.

But Mohammed Lukema, the headmaster of Kibaha Primary School, said he is only carrying out parents' wishes and pupils wearing a red ribbon were excused from any rigorous school duties, such as sweeping the compound and fetching water.

"Our school has pupils who are suffering from various diseases. The school and the society at large have decided to label pupils' uniforms," he said.

"In our school we put a red label on the pupils' collars to identify them."

The root of the problem is that there have been few initiatives to educate people about stigmatising those with HIV, Ms Tibihita said.

"They are only dealing with infection and prevention of the disease," she said.

"Now, the HIV and Aids Prevention and Control Act allows one with concrete evidence to be taken to court on the grounds of stigmatization and one can be sentenced for up to three years."

BBC News - Tanzania anger over red ribbon labels for HIV pupils
 
hii ishu sio kweli bali wale wanafunzi wanavalishwa ribbon na wazazi wao ili waweze kutambulika kirahisi na walimu pamoja na wanafuenzi wenzake ili zinapotolewa kazi za nje au adhabu yeye apewe adhabu kulingana na afya yake mathalani kuna mwanafunzi mmoja amekewa ribbon na mzazi wake ana matatizo ya kupumuwa .ni utaratibu tu waliojiwekewa wazazi wenyewe

Hata kama wazazi wameamua hivyo, but it 's too illogical. By nature hakuna binadamu yoyote ambaye yuko fit kiafya kwa 100%; kwa hiyo basi wanafunzi wote wavalishwe ribbons!
 
Hii si sawa! Tumesoma na watoto wenye allergies, asthma, disabilities mbalimbali! Kwani hao watoto wako wangapi hadi walimu wasiwajue? By the way, walimu wanapaswa kuwajua wanafunzi wote wanaohitaji special attention ili wawasaidie! Kama ni kwa ajili ya kuwatambua, ina maana wenye malaria na kuhara wanapewa label?
Isitoshe ukimwi sio ugonjwa jamani! Kwani mtoto mwenye hiv akichota maji atakuwaje? Mbona tuko na watu makazini na wanafanya kazi kama kawa na kusafiri pia? Na hao wazazi wanawafundisha watoto kujinyanyapaa!
 
hii ishu sio kweli bali wale wanafunzi wanavalishwa ribbon na wazazi wao ili waweze kutambulika kirahisi na walimu pamoja na wanafuenzi wenzake ili zinapotolewa kazi za nje au adhabu yeye apewe adhabu kulingana na afya yake mathalani kuna mwanafunzi mmoja amekewa ribbon na mzazi wake ana matatizo ya kupumuwa .ni utaratibu tu waliojiwekewa wazazi wenyewe

Na mie niliisikia BBC World Service kama masaa 16 yaliyopita. Wakasema kuna mwalimu kawaambia kuwa mpango mzima ni katika jitihada za kuwatambua watoto wenye maambukizi ni wapi ili wasiwape kazi ngumu kama za kuchota maji na kufagia.

Sijawahi kuchota maji shule ya msingi, ila nakumbuka kufagia kuna zamu, na kulikuwa na wenye pumu wanajulikana, habari za kufagia walikuwa wanaachwa.

Nikajiuliza maswali sana!

Kwa mtoto mwenye HIV nini inaweza kuwa muhimu zaidi? Privacy au kupunguziwa mambo yanayoweza kumharakishia magonjwa (na pengine kifo, HIV inasababisha ukosefu/ upungufu wa kinga).

Main theme hapa ni, hizi standards tunazopewa na nchi za magharibi kwetu zina maana au tunahitaji kuja na zetu wenyewe?

Magharibi kumvika mtu yeyote, much less mtoto, ribbon ya ugonjwa ni a no no. Hitler kashavisha yellow ribbon Wayahudi huko. Mwingine yeyote atakayeleta habari za ribbon ataonekana Hitler wa leo tu.

Huku kwetu hata Hitler watu hawamjui, na wengine wanamjua kijuu juu tu mpaka wanamuweka kama avatar.

Sasa watu kama hawa ni sawa kuwanyima kuondokana na adha za ufagizi kwa privacy concerns ambazo mara nyingine zinaweza zisiwe hata private?

Au Mwalimu alikuwa anaua soo tu na this should be a wrong anywhere in the world?

Sijui, na hata sijui kama sijui.
 
Hata kama wazazi wameamua hivyo, but it 's too illogical. By nature hakuna binadamu yoyote ambaye yuko fit kiafya kwa 100%; kwa hiyo basi wanafunzi wote wavalishwe ribbons!

Hapa point kubwa ni kumaliza umasikini ili mwanafunzi yeyote awe na haki ya kuwa mwanafunzi na kuachana na shughuli yoyote inayoweza kumlazimisha kuvaa ribbon katika context hii.

Habari za kufagia shule na kuchota maji kwa watoto wadogo wengine wanaweza kuziona kama child labor.

Challenge kubwa maana siye si masikini tu, ni masikini sana.
 
Habari ya mtoto kufundishwa kufanya kazi toka mdogo mie naiona sehemu ya grooming and upbringing! Usiniambie kama mtoto kufagia, kuchota maji na kidumu kama ikihitajika ama kulima kiasi ni child labor! Hivi vitu vinamfundisha mtoto discipline na kumuandaa kujitegemea baadae. Mfano, baada ya kuhusika kikamilifu na ufuaji wa nguo zangu za shule I was extra careful kuhusu kuchafua manake najua mziki wake!
Muhimu mtoto apewe elimu ya ukimwi na situation aliyo nayo! Afundishwe kujilinda na maambukizi mapya na kuwalinda wenzie both nyumbani na shuleni. Sioni any connection btn kufagia na hiv, inakuwa kama mnamuandaa kufa tu na hahitaji life skills! Shame Kiranga!
Habari za kufagia shule na kuchota maji kwa watoto wadogo wengine wanaweza kuziona kama child labor.

Challenge kubwa maana siye si masikini tu, ni masikini sana.
 
And Kiranga; umasikini tunaohitaji kujikwamua nao ni umasikini wa fikra! Nilimjua mtoto aliyezaliwa na hiv, akafariki akiwa form 1 baada ya kwenda boarding.nadhani shida kubwa ilikuwa diet. Badala ya ku-concentrate kwenye kulinda afya, tunaangalia vitu visivyo na impact kabisa.
 
Mungi & MODs ningeomba hii post ibakie hapa ili ijadiliwe na wengi. Ni muhimu sana kwa watu wengi kuona huu unyama unaofanywa huko Kibaha.

Hii ni aibu kwa Taifa zima, na ni kinyume kabisa na haki za binadamu. Lakini linalonisikitisha zaidi ni majibu aliyotoa waziri wa afya kwamba hawezi kusemam chochote mpaka uchunguzi ufanyike! Hivi waziri hajui kwamba hili ni kosa? Na inakuje BBC wawe wa kwanza kujua hii habari ni sio vyombo vyetu vya habari hapa Tanzania?



Hii taarifa inasikitisha sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Yaani ni kuonyesha kuwa tupo Watanzania ambao Elimu ya ukimwi bado kizungumkuti. kila siku inaelezwa kuwa "TUSIWANYANYAPAE WAATHIRIKA" Sasa inapotokea tena hadi mwalimu mkuu anakubali hatuelewi kama aliwashirikisha Viongozi wake wa ngazi za juu baada ya Wazazi kuamua hivyo au aliamua kufanya yeye kama yeye.

Kuhusu vyombo vyetu vya habari ni kwamba huwa daima vinatangaza kwa ushabiki mambo yanayohusu Siasa za Nchi yetu, na daima vipo busy kufuatilia leo kiongozi fulani ameenda wapi.

Habari nyingi zinazohusu nchi utazisikia BBC au sauti ya Ujerumani kule utapata habari mpya na za kukosoa maovu ya baadhi ya watendaji wetu.

HONGERA BBC KWA KUTUHABARISHA WATANZANIA



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Tanzania anger over red ribbon labels for HIV pupils



_59088346_dscn3287.jpg


Pupils wearing ribbons are excused from chores like fetching water.

Campaigners in Tanzania have criticised some schools for making HIV-positive pupils wear a red ribbon on their uniforms.

The headmaster of one school told the BBC it was done at the parents' request to ensure that all sickly pupils do not do tasks that may affect their health.

But such stigmatisation was against the law, punishable by up to three years in jail, a campaign group warned.
The health minister has said he cannot comment until it is investigated.

According to UNAids, about 5% of the population - 1.4m people - in the East African nation are living with HIV.

'Confidential'

The BBC's Aboubakar Famau in the main city of Dar es Salaam says activists have reacted with horror to the labelling of pupils in the Kibaha district.

They believe at least seven schools in the area, about 40km (25 miles) north-west of Dar es Salaam, are using the ribbon system.

"They are only doing that because they want to identify those who are HIV-positive," said Jane Tibihita, a co-ordinator of Upendo Partnership, a local campaign group.

Rebecca Mshumbusi, chairperson of the Kibaha Association of People Living with HIV/Aids, said it was unethical to reveal a person's health status in public.

"The information of one's sickness is confidential unless if one decides to share it with others. There are laws that can punish those revealing other's health status," she told the BBC.

But Mohammed Lukema, the headmaster of Kibaha Primary School, said he is only carrying out parents' wishes and pupils wearing a red ribbon were excused from any rigorous school duties, such as sweeping the compound and fetching water.

"Our school has pupils who are suffering from various diseases. The school and the society at large have decided to label pupils' uniforms," he said.

"In our school we put a red label on the pupils' collars to identify them."

The root of the problem is that there have been few initiatives to educate people about stigmatising those with HIV, Ms Tibihita said.

"They are only dealing with infection and prevention of the disease," she said.

"Now, the HIV and Aids Prevention and Control Act allows one with concrete evidence to be taken to court on the grounds of stigmatization and one can be sentenced for up to three years."


BBC News - Tanzania anger over red ribbon labels for HIV pupils





Huu ni unyanyasaji na unyapaa kwa walioathirika na UKIMWI. Ni kinyume na haki za binaadamu.
 
HIV.jpg
Campaigners in Tanzania have criticized some schools for making HIV-positive pupils wear a red ribbon on their uniforms.

The headmaster of one school told the BBC it was done at the parents' request to ensure that all sickly pupils do not do tasks that may affect their health.
But such stigmatization was against the law, punishable by up to three years in jail, a campaign group warned.
The health minister has said he cannot comment until it is investigated.
According to UNAids, about 5% of the population - 1.4m people - in the East African nation are living with HIV.

'Confidential'
The BBC's Aboubakar Famau in the main city of Dar es Salaam says activists have reacted with horror to the labelling of pupils in the Kibaha district.
They believe at least seven schools in the area, about 40km (25 miles) north-west of Dar es Salaam, are using the ribbon system.
"They are only doing that because they want to identify those who are HIV-positive," said Jane Tibihita, a co-ordinator of Upendo Partnership, a local campaign group.

In our school we put a red label on the pupils' collars to identify them”
Rebecca Mshumbusi, chairperson of the Kibaha Association of People Living with HIV/Aids, said it was unethical to reveal a person's health status in public.
"The information of one's sickness is confidential unless if one decides to share it with others. There are laws that can punish those revealing other's health status," she told the BBC.
But Mohammed Lukema, the headmaster of Kibaha Primary School, said he is only carrying out parents' wishes and pupils wearing a red ribbon were excused from any rigorous school duties, such as sweeping the compound and fetching water.

"Our school has pupils who are suffering from various diseases. The school and the society at large have decided to label pupils' uniforms," he said.
"In our school we put a red label on the pupils' collars to identify them."
The root of the problem is that there have been few initiatives to educate people about stigmatising those with HIV, Ms Tibihita said.
"They are only dealing with infection and prevention of the disease," she said.
"Now, the HIV and Aids Prevention and Control Act allows one with concrete evidence to be taken to court on the grounds of stigmatization and one can be sentenced for up to three years."

Je huu ni Ungwana....
 
itabidi huyo head teacher akavalishwe na yeye hiyo ribbon na hakuna haja ya kuanika ugonjwa wa mtu kwa public huyo mwl lazima apewe adhabu kama fundisho ili wenye akili kama zake wasirudie..

khaaa RIP tz..
 
Kama ni kweli basi this is insane. Wameshindwa nini kuwapa hao wanafunzi barua maalumu kama uthibitisho wa magonjwa yao ili wazionyeshe pale watakapotakiwa kufanya kazi nzito? Hii njia ya kuvaa ribon haikubaliki hata kama ugonjwa wa huyo mwanafunzi ni mafua, unless mwanafunzi mwenyewe ameamua kujitangaza.
They need to stop this and find a way of addressing the damage already caused to the victims!
 
hii habari inashangaza sana! Watakuwa wamewaathiri sana hawa watoto psychologically! Halafu ajabu vyombo vyetu vya habari viko vilinyamaza mpaka citizen na BBC waibue!what a shame
 
Hiyo nyingine mkubwa kila mtu akiwa na yake ckuwafunza wasiowanyooshea mikono wenzao kufanya hivyo,tunarudi tulipotolewa kwenye utumwa,ccm wote nao wapewe mabango ya kukithiri kwa ufisadi
 
Back
Top Bottom