The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
What a misconception!! Huo ni upotoshaji.
Hii taratibu si kuhusu HIV. Ni utaratibu upo muda mrefu tangu tunakua wengine. Mi nakumbuka sie primary watu walikuwa wanawekewa label ili wasipewe adhabu ama shughuli ambazo kiafya wameshauriwa wasifanye na madaktari. And it was quite okay.
Mi kwa mfano,nlikua na allergy,yani nkinusa vumbi tu ujue ntaumwa hadi kulazwa.so nikawekewa label kwa hiari ya mzazi wangu na hivyo nkawa sifagii wala kudeki shule hata aje mke wa rais kututembelea.
Kwa hivyo huyo anayesema ni ukimwi anapotosha sababu usually ugonjwa hauwekwi hadharani na ni mwalimu husika tu anayeidhinisha ndo anajua,tena si kwa kuambiwa ugonjwa bali kwa note ya daktari inayoeleza hivyo.
Hii taratibu si kuhusu HIV. Ni utaratibu upo muda mrefu tangu tunakua wengine. Mi nakumbuka sie primary watu walikuwa wanawekewa label ili wasipewe adhabu ama shughuli ambazo kiafya wameshauriwa wasifanye na madaktari. And it was quite okay.
Mi kwa mfano,nlikua na allergy,yani nkinusa vumbi tu ujue ntaumwa hadi kulazwa.so nikawekewa label kwa hiari ya mzazi wangu na hivyo nkawa sifagii wala kudeki shule hata aje mke wa rais kututembelea.
Kwa hivyo huyo anayesema ni ukimwi anapotosha sababu usually ugonjwa hauwekwi hadharani na ni mwalimu husika tu anayeidhinisha ndo anajua,tena si kwa kuambiwa ugonjwa bali kwa note ya daktari inayoeleza hivyo.