data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,149
- 22,726
Kama huna vigezo chill tu.None sense
Cheki opportunities nyingine.
Kama huna vigezo chill tu.None sense
ha ha ha... cha mcng ili waonekane wametoa batch ya 4Kuna dogo alikuwa analalamika wamempa 97,000/= katika ada ya 1,200,000/= sijui huu nao ni mkopo au nauli ya daladala
hahaha huyu jamaa kanichekesha sana japo inasikitishaha ha ha... cha mcng ili waonekane wametoa batch ya 4
daah kipindi akihutubia bunge kwa mara ya mwisho nilitoa chozi asee alituaga kwa huzuni kweli yanhaa haa hii ndo serikali ya wanyonge. kwa sasa kipaumbele ni chato. jk tunakukumbuka sana kwa kweli...