Don san tan
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 562
- 433
Wanafunzi wanaopokea Mikopo Chuo kikuu wameanza Kuhakikiwa, ili kuweza kujua nani ni mpokea mkopo hewa. Hivyo hiyo ni mikakati ya kufuta majina hewa ya Mikopo. Je! wakipatikana nani atatumbuliwa?
Wanataka uwe na vitu gani ktk ukaguzi wao mkuu?