frozen
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 135
- 32
Kwa wanafunzi ambao hawakujaza form za kuomba mkopo kwa wanafunzi wanaoingia mwaka wa 2 na 3,kutokana na matatizo mbali mbali(continuing student) bodi wanasema hawatapata mkopo kwa mwaka wa masomo 2011/2012,, kuna yeyote hapa jamvini mwenye taarifa zaidi..