Habuba
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 918
- 1,201
Wadau jukwaa la elimu na walimu wenzangu mkuje tuelezane kwenye vituo vyenu vya kazi hali ikoje?
Kipi kinachotakiwa kufanyika kwenye ufanyaji wa hii mitihani ya kumaliza muhula wa kwanza shule za sekondari?
Mitihani ya kumaliza muhula wa kwanza (Terminal examination June 2018)
Iko hivi Mimi ni mwalimu shule ya sekondari X. Leo wanafunzi wameanza mitihani ya kumaliza muhula wa kwanza.
Cha ajabu ambacho sijawahi kuona/kusikia/kuota ni wanafunzi kuambiwa KILA MWANAFUNZI AJE NA KARATASI ZAKE ZA KUJIBIA KILA MTIHANI ATAKAOFANYA.
Shule haina hela na HELA ZA ELIMU BURE HAZIGAWANYIKI KUFANIKISHA MITIHANI HIYO.
Kilichofanyika Leo na kitachofanyika kesho wanafunzi kuchana karatasi kwenye daftari zao. Kumbuka wanafunzi wana daftari tofauti tofauti, kuna za shilingi 300, 500, 1000, na kuna wenye makaunta. Kumbuka karatasi zinapishana rangi, urefu na upana (dimensions) kulingana na bei na aina ya daftari/kaunta husika karatasi ilipochanwa.
Mitihani ikikusanywa inaonekana kama uchafu umekusanywa kiasi kwamba huwezi kuibeba upelekee MKE WAKO akusaidie kusahihisha Yale maswali ya kuchagua hapo utaonekana fala umepeleka upupu gani?
Mimi binafsi sisahihishi upuuzi huo (nagoma pekeangu) ila najua kuna waalimu pale iyo kwao wala sio tatizo na hakika wataisahihisha. Einstein alisema "if you move naked around the tree at a speed of light the probability of fucking yourself is one" wao sio shida kwao.
Wadau wa Elimu na waalimu mkuje tujadili hili, point ipanguliwe kwa point mseme na madhara ntayopata kwenye huo mgomo wangu.
Karibuni.
Kipi kinachotakiwa kufanyika kwenye ufanyaji wa hii mitihani ya kumaliza muhula wa kwanza shule za sekondari?
Mitihani ya kumaliza muhula wa kwanza (Terminal examination June 2018)
Iko hivi Mimi ni mwalimu shule ya sekondari X. Leo wanafunzi wameanza mitihani ya kumaliza muhula wa kwanza.
Cha ajabu ambacho sijawahi kuona/kusikia/kuota ni wanafunzi kuambiwa KILA MWANAFUNZI AJE NA KARATASI ZAKE ZA KUJIBIA KILA MTIHANI ATAKAOFANYA.
Shule haina hela na HELA ZA ELIMU BURE HAZIGAWANYIKI KUFANIKISHA MITIHANI HIYO.
Kilichofanyika Leo na kitachofanyika kesho wanafunzi kuchana karatasi kwenye daftari zao. Kumbuka wanafunzi wana daftari tofauti tofauti, kuna za shilingi 300, 500, 1000, na kuna wenye makaunta. Kumbuka karatasi zinapishana rangi, urefu na upana (dimensions) kulingana na bei na aina ya daftari/kaunta husika karatasi ilipochanwa.
Mitihani ikikusanywa inaonekana kama uchafu umekusanywa kiasi kwamba huwezi kuibeba upelekee MKE WAKO akusaidie kusahihisha Yale maswali ya kuchagua hapo utaonekana fala umepeleka upupu gani?
Mimi binafsi sisahihishi upuuzi huo (nagoma pekeangu) ila najua kuna waalimu pale iyo kwao wala sio tatizo na hakika wataisahihisha. Einstein alisema "if you move naked around the tree at a speed of light the probability of fucking yourself is one" wao sio shida kwao.
Wadau wa Elimu na waalimu mkuje tujadili hili, point ipanguliwe kwa point mseme na madhara ntayopata kwenye huo mgomo wangu.
Karibuni.