Wanafunzi waliokosa mkopo ina maana pesa hazipo? Mnakubali hivi hivi tuu... Wadau mnaonaje?

JUAK

Member
Aug 26, 2011
11
3
Mim naona wanafunzi waliokosa mkopo hawajatendewa haki kwan pesa wanazopewa wanafunz watarudisha mbona mabilion mengine yanapotea bure kwa kumnufaisha mtu mmoja au wawil tu,je tanzania itendelea bila wasomi wa elimu ya juu,serikali haini kuwa ni suala muhimu?
 
Wanafunzi wote walioomba mikopo wote wana vigezo vya kupata huo mkopo kwa kuwa walipewa vigezo ndipo wakaomba so naona hawatendewi haki jaman , ni vigezo tatizo au pesa ndio hamna?
 
Kilimo kwanza au elimu kwanza jaman hii nchi inaelekea wap? Vijana amken tuwe na uthubutu wa kuhoji mambo ya msingi ndugu zangu.
 
Jamani tuache ushabiki. Je Tanzania ina uwezo wa kusomesha wanafunz wote wanaomba chuo. Bajet yetu tunategemea msaada. Sector zipo nyng, tuache ushabiki walaumu wazaz wako kwa kuchezea vibaya ujana wao.
 
Jamani tuache ushabiki. Je Tanzania ina uwezo wa kusomesha wanafunz wote wanaomba chuo. Bajet yetu tunategemea msaada. Sector zipo nyng, tuache ushabiki walaumu wazaz wako kwa kuchezea vibaya ujana wao.
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
kaka unafanya kazi Bodi ya mikopo ama? Kama sio mbona unawakosea nidhamu wazazi wetu kwa kashfa zako? Tanzania ishindwe kuwakopesha wadahiliwa 39elf tu, inakuja na kukaa akilini mwako kweli? Na si kwamba inawasomesha inawakopesha ili wazirudishe baada ya masomo na kuajiriwa. Inakuaje unaandika na kuandika Upupu upupu ikiwa ulikopeshwa kuwezesha masomo yako? Kwanin kwetu sisi sio wao? Tena acha hiyo kwa wazazi wetu kabisa ikiwa wengine wana machungu ya kupoteza mmoja ama wazazi wote na kukosa mkopo pia. Wewe uongee UpU PU UPUPU UPUPU UPUPU humu acha kabisa hiyo mambo tena koma sio wazazi wote waliajiriwa kama wa kwako pamoja na kusoma kwa mkopo waliolipishwa wazazi wetu kodi.
 
&amp;amp;amp;lt;br /&amp;amp;amp;gt;&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;amp;lt;br /&amp;amp;amp;gt;&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
kaka unafanya kazi Bodi ya mikopo ama? Kama sio mbona unawakosea nidhamu wazazi wetu kwa kashfa zako? Tanzania ishindwe kuwakopesha wadahiliwa 39elf tu, inakuja na kukaa akilini mwako kweli? Na si kwamba inawasomesha inawakopesha ili wazirudishe baada ya masomo na kuajiriwa. Inakuaje unaandika na kuandika Upupu upupu ikiwa ulikopeshwa kuwezesha masomo yako? Kwanin kwetu sisi sio wao? Tena acha hiyo kwa wazazi wetu kabisa ikiwa wengine wana machungu ya kupoteza mmoja ama wazazi wote na kukosa mkopo pia. Wewe uongee UpU PU UPUPU UPUPU UPUPU humu acha kabisa hiyo mambo tena koma sio wazazi wote waliajiriwa kama wa kwako pamoja na kusoma kwa mkopo waliolipishwa wazazi wetu kodi.
<br />
<br />
umeshasema mkopo. Mkopo si hiar ya mtu kukukopesha au la. Soma katiba ya Jamhuri Ya Muungano, uone kama kifungu kinagusia hiyo mambo. Acha kuwa ushabiki.
 
Tukutaneni pale bod jumatatu, twenden na kufur za solex, wasipo tupa majibu yanayo eleweka wanalala ofisini, tuungane kutetea hak zetu.
<br />
<br />
haki yako ip?. Soma katba ya Tanzania inataja ww kupewa mkopo.
 
Jamani tuache ushabiki. Je Tanzania ina uwezo wa kusomesha wanafunz wote wanaomba chuo. Bajet yetu tunategemea msaada. Sector zipo nyng, tuache ushabiki walaumu wazaz wako kwa kuchezea vibaya ujana wao.
<br />
<br />
inaonekana we ni fisadi naomba unyamaze kabisa
2015 hampati kura hata chembe
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
umeshasema mkopo. Mkopo si hiar ya mtu kukukopesha au la. Soma katiba ya Jamhuri Ya Muungano, uone kama kifungu kinagusia hiyo mambo. Acha kuwa ushabiki.
<br />
<br />
si hiar kukopeshwa, ila kuna vigezo vinavyokufanya ukopeshwe, kama unavyo na hukupewa mkopo na asiyenavyo kapewa, hiyo katiba yko hairuhusu kudai haki yako? Dnt put your mouth in a motion before your brain isnt in a gear.
 
Jamani tuache ushabiki. Je Tanzania ina uwezo wa kusomesha wanafunz wote wanaomba chuo. Bajet yetu tunategemea msaada. Sector zipo nyng, tuache ushabiki walaumu wazaz wako kwa kuchezea vibaya ujana wao.
<br />
<br />
mimi baba yangu na mama yangu wamefariki , eenh ebu niambie nimlaaumu nan? Mwenyez mungu aliewarudisha mavumbini?
 
........................Hiyo ndiyo Bodi ya mikopo mkuu,tunapowaambia tuandamane tuwang'oe CCM hamtaki,JK alipokutana na wanafunzi wa vyuo vikuu vya Dodoma wakati wa kuchukua fomu ya kugombea uchaguzi alisema sasa mikopo itapatikana kwa wakati na kwa vigezo vyepesi....Ona sasa kinachotokea....
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
umeshasema mkopo. Mkopo si hiar ya mtu kukukopesha au la. Soma katiba ya Jamhuri Ya Muungano, uone kama kifungu kinagusia hiyo mambo. Acha kuwa ushabiki.
<br />
<br />


sikulaumu sana kwa mawazo mgando yako. Sema bahati nzuri sijafahamu umri wako. Ningefahamu ningeweza kukupa tathimini yako kwa kiasi kikubwa wewe unatumia MASABURI kufikiri ndio maana hufahamu kwamba ulisoma kwa kodi za watanzania ambao ni wazazi wetu ukaona ni haki yako kupewa huo mkopo kwa katiba ile ile ambayo haijabadilishwa hadi sasa, na kwetu si haki yetu kupewa mkopo ama kweli wewe ni mtoto wa Lubumbala unamsaidia kujibu hoja kwa kashfa tena ni vyema umrudie Mungu wako ukimwambia Nimewakosea wazazi wa watoto wa wakulima usamehewe kwa upupu wako.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
<br />
sikulaumu sana kwa mawazo mgando yako. Sema bahati nzuri sijafahamu umri wako. Ningefahamu ningeweza kukupa tathimini yako kwa kiasi kikubwa wewe unatumia MASABURI kufikiri ndio maana hufahamu kwamba ulisoma kwa kodi za watanzania ambao ni wazazi wetu ukaona ni haki yako kupewa huo mkopo kwa katiba ile ile ambayo haijabadilishwa hadi sasa, na kwetu si haki yetu kupewa mkopo ama kweli wewe ni mtoto wa Lubumbala unamsaidia kujibu hoja kwa kashfa tena ni vyema umrudie Mungu wako ukimwambia Nimewakosea wazazi wa watoto wa wakulima usamehewe kwa upupu wako.
<br />
<br />
tatizo watanzania hatupendi kuambiwa ukweli. Serikali ipo sahihi. Bord ya mikopo wana policy zao. Wanapanga kwa mwaka watumie kias flan, so wana bajet kutokana na bajet waliopanga. Na huwa idadi ya wanafunzi wana vary. Au unafikiri wao hawana bajeti?.,
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom