Tukutaneni pale bod jumatatu, twenden na kufur za solex, wasipo tupa majibu yanayo eleweka wanalala ofisini, tuungane kutetea hak zetu.
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />Jamani tuache ushabiki. Je Tanzania ina uwezo wa kusomesha wanafunz wote wanaomba chuo. Bajet yetu tunategemea msaada. Sector zipo nyng, tuache ushabiki walaumu wazaz wako kwa kuchezea vibaya ujana wao.
<br />&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
kaka unafanya kazi Bodi ya mikopo ama? Kama sio mbona unawakosea nidhamu wazazi wetu kwa kashfa zako? Tanzania ishindwe kuwakopesha wadahiliwa 39elf tu, inakuja na kukaa akilini mwako kweli? Na si kwamba inawasomesha inawakopesha ili wazirudishe baada ya masomo na kuajiriwa. Inakuaje unaandika na kuandika Upupu upupu ikiwa ulikopeshwa kuwezesha masomo yako? Kwanin kwetu sisi sio wao? Tena acha hiyo kwa wazazi wetu kabisa ikiwa wengine wana machungu ya kupoteza mmoja ama wazazi wote na kukosa mkopo pia. Wewe uongee UpU PU UPUPU UPUPU UPUPU humu acha kabisa hiyo mambo tena koma sio wazazi wote waliajiriwa kama wa kwako pamoja na kusoma kwa mkopo waliolipishwa wazazi wetu kodi.
<br />Tukutaneni pale bod jumatatu, twenden na kufur za solex, wasipo tupa majibu yanayo eleweka wanalala ofisini, tuungane kutetea hak zetu.
<br /><br /><br />
<br /><br />
haki yako ip?. Soma katba ya Tanzania inataja ww kupewa mkopo.
<br />Jamani tuache ushabiki. Je Tanzania ina uwezo wa kusomesha wanafunz wote wanaomba chuo. Bajet yetu tunategemea msaada. Sector zipo nyng, tuache ushabiki walaumu wazaz wako kwa kuchezea vibaya ujana wao.
<br /><br /><br />
<br /><br />
umeshasema mkopo. Mkopo si hiar ya mtu kukukopesha au la. Soma katiba ya Jamhuri Ya Muungano, uone kama kifungu kinagusia hiyo mambo. Acha kuwa ushabiki.
<br />Jamani tuache ushabiki. Je Tanzania ina uwezo wa kusomesha wanafunz wote wanaomba chuo. Bajet yetu tunategemea msaada. Sector zipo nyng, tuache ushabiki walaumu wazaz wako kwa kuchezea vibaya ujana wao.
<br /><br /><br />
<br /><br />
umeshasema mkopo. Mkopo si hiar ya mtu kukukopesha au la. Soma katiba ya Jamhuri Ya Muungano, uone kama kifungu kinagusia hiyo mambo. Acha kuwa ushabiki.
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
<br />
sikulaumu sana kwa mawazo mgando yako. Sema bahati nzuri sijafahamu umri wako. Ningefahamu ningeweza kukupa tathimini yako kwa kiasi kikubwa wewe unatumia MASABURI kufikiri ndio maana hufahamu kwamba ulisoma kwa kodi za watanzania ambao ni wazazi wetu ukaona ni haki yako kupewa huo mkopo kwa katiba ile ile ambayo haijabadilishwa hadi sasa, na kwetu si haki yetu kupewa mkopo ama kweli wewe ni mtoto wa Lubumbala unamsaidia kujibu hoja kwa kashfa tena ni vyema umrudie Mungu wako ukimwambia Nimewakosea wazazi wa watoto wa wakulima usamehewe kwa upupu wako.