NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,225
- 16,650
Wanabodi za asubuhi
Nimepitapita kwenye shule za sekondari za Halmashauri ya wilaya ya Uyui Mkoani Tabora na kushudia Wanafunzi wa kidato cha kwanza wanakaa chini sakafuni hali inayotia simanzi sana kwa vijana hawa wadogo wanaoanza safari ya masomo!
Utafiti wangu nimeufanya kwa shule zifuatazo;
Tura Sekondari, Goweko, Igagula, Loya, Kizengi, Imalampaka, Kigwa, Mabama, Madaha na Shule nyingine za Uyui.
Natoa wito kwa Wadau wa Elimu Waziri wa Elimu,TAMISEMI, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Uyui, Maafisa Elimu Msingi na Sekondari wachukue hatua stahiki kuondoa janga hili.
Pia kwa Shule za Msingi za Wilaya hii Hakuna Madawati ya kutosha kwa Darasa la kwanza wanaojiunga sasa hivi.
Fanyeni hima hali inatisha sana!!!
Kama hamtaamini taarifa hii tumeni watu makini mje muone hali ilivyo mbaya.
Nimepitapita kwenye shule za sekondari za Halmashauri ya wilaya ya Uyui Mkoani Tabora na kushudia Wanafunzi wa kidato cha kwanza wanakaa chini sakafuni hali inayotia simanzi sana kwa vijana hawa wadogo wanaoanza safari ya masomo!
Utafiti wangu nimeufanya kwa shule zifuatazo;
Tura Sekondari, Goweko, Igagula, Loya, Kizengi, Imalampaka, Kigwa, Mabama, Madaha na Shule nyingine za Uyui.
Natoa wito kwa Wadau wa Elimu Waziri wa Elimu,TAMISEMI, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Uyui, Maafisa Elimu Msingi na Sekondari wachukue hatua stahiki kuondoa janga hili.
Pia kwa Shule za Msingi za Wilaya hii Hakuna Madawati ya kutosha kwa Darasa la kwanza wanaojiunga sasa hivi.
Fanyeni hima hali inatisha sana!!!
Kama hamtaamini taarifa hii tumeni watu makini mje muone hali ilivyo mbaya.