Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,676
- 34,385
Mjinga ni wewe mshamba mmoja shenzi typeAcha ujinga..
Mjinga ni wewe mshamba mmoja shenzi typeAcha ujinga..
Utabaki kuwa mjingaMjinga ni wewe mshamba mmoja shenzi type
Zilivyotoka ajira za vyombo vya ulinzi vijana wengi waliopita jkt kwa mujibu au kujitolea ndio waliochukuliwa..Nali aliwahi kukwama popote kwa kutokwenda JKT kwa mujibu wa Sheria?
Hii nikwaajili ya manufaa ya muendaji mwenyewe sidhani kama muhusika hataki kwenda atalazimishwa.
Kuna sehemu atakwama huko mbeleni...
Kwa Dunia ya Sasa yenye ushindan na ajira chache na kisomo cheti Cha white collar jobs ni bora uende Ili uongeze nafasi Yako ya kuajiriwa hyko mbeleni.. kuanzia kwwnye majeshi na zipo ajira zingne wanatoa kipaumbele Kwa waliopita jeshini.Nali aliwahi kukwama popote kwa kutokwenda JKT kwa mujibu wa Sheria?
Hii nikwaajili ya manufaa ya muendaji mwenyewe sidhani kama muhusika hataki kwenda atalazimishwa.
Asant, ila Npo musoma, yan nipande bus mpak dodom, me j3 naingia rwamkoma wenyew ndo waandke hyo baruanenda makao ya jkt, andika barua, utachaguliwa na kupangiwa kikosi..
Kwa ambao hawajachaguliwa, ndio waende dodomaAsant, ila Npo musoma, yan nipande bus mpak dodom, me j3 naingia rwamkoma wenyew ndo waandke hyo barua
Mbona karibu mno siku ya kureport!Mkuu wa Tawi la Utawala wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Brigedia Jenerali Hassan Mabena amewaita vijana wote waliohitimu kidato cha sita 2022 kutoka shule zote za Tanzania Bara kujiunga na mafunzo ya jeshi hilo kwa mujibu wa sheria.
Brigedia Jenerali Mabena ametoa wito huo leo Jumanne Mei 31, 2022 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafunzo hayo kwa mwaka huu, akiwataka kuanza kuripoti kuanzia Juni 3 hadi 17 katika makambi waliopangiwa.
Kwa mujibu Brigedia Mabena, vijana hao wamepangiwa katika kambi za JKT Rwamkoma, Msange, Ruvu, Mpwapwa, Makutupora, Mafinga, Makuyuni, Kanembwa, Itaka, Mlale, Mgambo, Oljoro, Milundikwa, Nachingwea, Kibiti Bulombwa na Maramba.
"Wahitimu wenye ulemavu wa kuonekana kwa macho waripoti katika kambi ya Ruvu JKT iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Kambi hii ina miundombinu ya kuhudumia watu wa jamii hii.
"Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajab Mabele awakaribisha vijana wote walioitwa ili kujiungna katika kujifunza uzalendo, umoja wa kitaifa, stadi za kazi na maisha, utayari kulijenga na kulitumikia Taifa,"amesema Brigedia Jenerali Mabena.