Wanafunzi wachoma moto pikipiki ya mwalimu, wafyeka shamba kisa adhabu ya kukutwa na simu shuleni

Shule za Serikali ndio maana mitoto hufeli
Ikiwemo hiyo Iyunga Tech

Jirani tu hapo kuna shule ya watoto wa matajiri toka nchi nzima ya St Francis ambako wazazi wanao uwezo hata wa kununulia watoto wao simu ya milioni lakini hawawapi na simu shuleni marufuku hawaruhusiwi kuwa nazo na wanatii lakini shule ya wanafunzi maskini mtoto anakomaa awe na ki Nokia torch chake mwalimu akikataza anamwita mnoko!!! Na kuchoma ofisi

Njoo matokeo sasa St Francis darasa zima Division one Iyunga Tech aibu hata kuandika matokeo

Maskini akipata matako hulia mbwata.Kwa hiyo kuwa na hicho kisimu Nokia torch ndio mwajiona wa maana na kuona mwalimu anayekataza hopeless hadi kuchoma ofisi? Maskini na watoto wao wana safari ndefu.Ushauri wangu maximum kama unampenda mtoto jitahidi umpeleke shule za private strict hizo za umma kama Iyunga zenye mitoto isiyojitambua waachie
Shule za serikali ni utopolo tu hiyo nguvu walimu wa nidhamu wanayoitia kwa Wanafunzi wangedirect katika academics ingewatosha kufaulisha.

Unakuta Mwalimu haingii mwezi mzima darasani, unaingia mitihani ya Taifa kuna topics hujawahi kufundishwa (unaomba Mungu usikutane na swali la topics ambazo hujasoma), kuna practicals hujawahi fanya na Mwalimu husika haulizwi wala kuwajibishwa wao wapo kukimbiza wanafunzi kuishi kama digidigi tu.
 
Shule za Serikali ndio maana mitoto hufeli
Ikiwemo hiyo Iyunga Tech

Jirani tu hapo kuna shule ya watoto wa matajiri toka nchi nzima ya St Francis ambako wazazi wanao uwezo hata wa kununulia watoto wao simu ya milioni lakini hawawapi na simu shuleni marufuku hawaruhusiwi kuwa nazo na wanatii lakini shule ya wanafunzi maskini mtoto anakomaa awe na ki Nokia torch chake mwalimu akikataza anamwita mnoko!!! Na kuchoma ofisi

Njoo matokeo sasa St Francis darasa zima Division one Iyunga Tech aibu hata kuandika matokeo

Maskini akipata matako hulia mbwata.Kwa hiyo kuwa na hicho kisimu Nokia torch ndio mwajiona wa maana na kuona mwalimu anayekataza hopeless hadi kuchoma ofisi? Maskini na watoto wao wana safari ndefu.Ushauri wangu maximum kama unampenda mtoto jitahidi umpeleke shule za private strict hizo za umma kama Iyunga zenye mitoto isiyojitambua waachie

Naipongeza Serikali kujenga madaraka mazuri lakini aina ya wanafunzi wanaowajengea hayo madarasa kama wanafunzi ni kama huyu au hao wa Iyunga Tech wachoma ofisi nk kisa simu kazi bado mbichi madarasa.mazuri wanafunzi wabaya
povuuu jingi mno mwalimu kwani shida nn? Mwanafunzi kuwa na cm inahusiana vipi na kufeli masomo? Au matokeo mabaya?

Unailinganisha St Francis na Iyunga Tech uko sawa wee? Unaona zinaendana kwa kila kitu? Poleeeeeeeeeh
 
Kwa ulivyoandika unaonyesha unapendelea wanafunzi wamiliki siku mashuleni,wazitumie kadri ya akili zao zitakavyowatuma.Una maono mazuri sana,hongera.
Kumiliki cm ni kawaida kwa mwanafunzi wa A level, mie nilikua namiliki ila nliwekaga kwa mwalimu, siku za weekend ananipa natumia kwa kadri ya nitakavyo.
Ahsanteeeeeh sana.
 
Shule za serikali ni utopolo tu hiyo nguvu walimu wa nidhamu wanayoitia kwa Wanafunzi wangedirect katika academics ingewatosha kufaulisha.

Unakuta Mwalimu haingii mwezi mzima darasani, unaingia mitihani ya Taifa kuna topics hujawahi kufundishwa (unaomba Mungu usikutane na swali la topics ambazo hujasoma), kuna practicals hujawahi fanya na Mwalimu husika haulizwi wala kuwajibishwa wao wapo kukimbiza wanafunzi kuishi kama digidigi tu.
walimu wa shule za serikali hasa wa Advance, muda wa kufundisha hawana, wako kutwa kuwaambia wanafunzi nyie n wakubwa mnajitambua mjitafutie material wako kutwa kuwazabua wanafunzi tena wanavyokua na stress za mshahara kiduchu ndo kabisaa tafrani tupu, woiiiiiiiiih
 
Ukisoma hii habari utahisi wanafunzi ndio wakorofi, mimi mpwa wangu anasoma pale form six na alinielezea A to Z ya nini kilichotokea.

Mimi mvivu sana kuandika lakini kifupi ni kwamba huyo mwanafunzi aliyesemekana kakutwa na simu, haikuwa ya kwake... Huyo mwalimu aliyechomewa pikipiki ndio alikuwa anamuadhibu kijana ili aseme simu iko wapi... Kifupi ni kwamba Mwalimu alimchapa vibaya mwanafunzi mpaka akazidiwa. Walimu wakaogopa kumpeleka hospitali kwa sababu hakukuwa na pf3.

Kituoni waliogopa maana wangetoa maelezo gani ili waeleweke. Ndipo ikabidi wamrudushe shule wakampa dawa ili atulize maumivu. Jioni mwanafunzi hali yake ikawa mbaya zaidi ndipo wanafunzi wengine wakaanza kushinikiza apelekwe hospitalini. Kukawa na mvutano kati ya waalimu na wanafunzi.

Yule mwalimu aliyetoa adhabu akawa anawatukana wanafunzi na kuwajibu jeuri. Wanafunzi wakapandisha hasira na mvutano ukawa mkubwa, Mwalimu mkuu alipata taarifa na kufika eneo la tukio. Akajaribu kuwasihi wanafunzi watawanyike atashughulikia lakini wanafunzi tayari walishapandisha hasira na chuki dhidi ya yule mwalimu, kwani inasemekana yule mwalimu amekuwa na tabia ya kupiga wanafunzi hovyo bila utaratibu na kuwatukana matusi.

Hiki ndio chanzo mpaka huyo mwalimu kuchomewa pikipiki na kufyekewa shamba lake. Haya ni maelezo mafupi tu ya nini hasa kilichotokea.
Usikilize maelezo ya mwanfunzi akueleze A to Z vizuri labda hujawah kudill nao hao viumbe tena mtoto wa form six mvulana
 
Shule za serikali ni utopolo tu hiyo nguvu walimu wa nidhamu wanayoitia kwa Wanafunzi wangedirect katika academics ingewatosha kufaulisha.
Mwalimu kuweka Juhudi anahitaji ushirikiano wa wanafunzi sasa anaadhibu tu mtoto kwa kuvunja sheria kwa kukutana na simu mwalimu.anachomewa na kuharibiwa Mali zake unategemea awekeze nguvu kufundisha? Na walimu wengine wakiona hivyo unategemea wawe na morale wa kufudisha?

Mwanafunzi nidhamu ikiwa juu uwezekano wa mwalimu kuwa motivated kufundidha mkubwa

Mfano pita shule ya Serikali ya sekondari uone ulivyo na mikelele ya wanafunzi wengine mwalimu anafundisha darasa lingine mikelele.Lakini nenda shule za private zinazofaulisha sana muda wowote ukipita karibu waweza dhani hakuna wanafunzi kuko kimya kila mmoja ana agenda moja kusoma.kelele marufuku kwenye compound ya shule na madarasani kusikia sauti ni mwalimu akifundisha tu
 
povuuu jingi mno mwalimu kwani shida nn? Mwanafunzi kuwa na cm inahusiana vipi na kufeli masomo? Au matokeo mabaya?

Unailinganisha St Francis na Iyunga Tech uko sawa wee? Unaona zinaendana kwa kila kitu? Poleeeeeeeeeh
Hujui shida yake do one thing at a time if you want to succeed in life simu ina divert hilo

Umeenda kusoma kasome simu achana nayo hata makazini ofisi nyingi serious simu yako utaiona ukitoka kazini.Muda wa kazi ni kazi tu
Shule zinazofaulisha sana wana marufuku mbili moja marufuku mtoto kwenda kusoma tuition wakati wa likizo na kusoma online kwenye simu au komputa wanasema atajichanganya walimu wanajiamini kuwa kile walichowafundisha watoto kinatosha wasije changanywa bure huko tuition au online za simu au komputa

Kwa wasoma shule za kayumba kuelewa marufuku hii ya simu inakuwa ngumu sababu huko wanafunzi wanajilea wenyewe na ujuaji wao waliotoka nao kwao kwenye umaskini mkubwa
 
Msimtetee hamumjui na sio kurekebisha yeye alikua anakuharibia hakuna msamaha wala kukosea kwa bahati mbaya ukiingia kwenye 18 zake imekula kwako.
Hata wewe ukiwa Mwalimu kuna Wanafunzi watakuita mnoko,hata km una nia nzuri na wao.
 
Shule za Serikali ndio maana mitoto hufeli
Ikiwemo hiyo Iyunga Tech

Jirani tu hapo kuna shule ya watoto wa matajiri toka nchi nzima ya St Francis ambako wazazi wanao uwezo hata wa kununulia watoto wao simu ya milioni lakini hawawapi na simu shuleni marufuku hawaruhusiwi kuwa nazo na wanatii lakini shule ya wanafunzi maskini mtoto anakomaa awe na ki Nokia torch chake mwalimu akikataza anamwita mnoko!!! Na kuchoma Mali na kuharibu?

Njoo matokeo sasa St Francis darasa zima Division one Iyunga Tech aibu hata kuandika matokeo

Maskini akipata matako hulia mbwata.Kwa hiyo kuwa na hicho kisimu Nokia torch ndio mwajiona wa maana na kuona mwalimu anayekataza hopeless hadi kuchoma na kuharibi Mali. Za mwalimu au shule? Maskini na watoto wao wana safari ndefu.Ushauri wangu maximum kama unampenda mtoto jitahidi umpeleke shule za private strict hizo za umma kama Iyunga zenye mitoto isiyojitambua waachie

Naipongeza Serikali kujenga madaraka mazuri lakini aina ya wanafunzi wanaowajengea hayo madarasa kama wanafunzi ni kama huyu au hao wa Iyunga Tech wachoma ofisi nk kisa simu kazi bado mbichi madarasa.mazuri wanafunzi wabaya
Kweli kabisa Mkuu, Wanafunzi wa Shule za Serikali wana shida sana kwenye suala la nidhamu.
 
Back
Top Bottom