nimeamini sasa shigongo anaharibu nchi. Ona jinsi alivyoharibu jinsi ya uandikaji wa vichwa vya habari ili kupata tension kubwa,kicha cha habari mleta thread umeandika kama gazeti la udaku,as if jambo limetokea kumbe siyo,rekebisha heading,acha ushigongoism!
Wengine ukweli huwa wanauita kashfa...Comment za kipumbavu kama hizi ndo zinasababisha watu wapigwe BAN
hivi ukinyamaza bila kuongea UTUMBO kama huu utaharibikiwa na nini?