wanafunzi waandamana

Faith

Member
Jul 9, 2008
52
11
niko hapa jirani na jengo la mkuu wa mkoa, naona na kusikia wanafunzi wakiandama kupinga nauli ya mia
wanaimba nyimbo za kumpondea kandolo
naona na wengine wamechukuliwa na defender ya polisi
mpo wana habari?
 
Hofu yangu ni kua HAWANA KIBALI KWANI WALINYIMWA!, sasa hii inaweza kuwaletea tatizo, na wanafunzi wenyewe wengi ni wa msingi na sekondari (lkn ni km o'level) mana wadogonaona na mabomu yanatupwa hapa, watoto wanakimbizwa
nitajuza baadae
 
Hakika ila bila kibali wataumizwa

Hivi, hao wanafunzi wana haki gani, kwa taarifa yenu sheria za nchi zinasema walipe nusu ya nauli ya mtu mzima... kwa maana kuanzia sasa walipe 200/- per normal route...

Lakini hata hivyo SUMATRA wamepunguza to 100/- Tsh. nani asiyejua kwamba mafuta yamepanda?

Hao wenye dala dala ambao wanalipa kodi etc. kwa nini wabebeshwe mzigo wao...

Ndio muda muafaka wa kujua kwamba kuzaa si tabu... bali kazi kulea na tujiandae kuwalipa watoto wetu.
 
niko hapa jirani na jengo la mkuu wa mkoa, naona na kusikia wanafunzi wakiandama kupinga nauli ya mia
wanaimba nyimbo za kumpondea kandolo
naona na wengine wamechukuliwa na defender ya polisi
mpo wana habari?

Ni haki ya kiraia but i think lazima serikali itafute njia ya kukabiliana na kupanda kwa bei ya mafuta.

Am sorry kwa wanetu na wadogo zetu but i think they should'nt.Things are worse on both sides.
 
Mabomu ya nini kwa watoto wadogo? mbona hata Ulaya watu wakiandamana huzuiwa tu na si kuwapiga mabomu ya machozi! Lakini ndio njia inayotumika sana hapa Afrika, kupiga na kujeruhi. Na hao askari watoto wao hawamo kwenye maandamano?
 
Kweli kila mtu ana haki ya kumsomesha mtoto ktk shule anayoipenda,au yenye sifa nzuri(kulingana na anavyoona yeye),au anayomudu. Sasa kuna Watz wenzetu hasa Dar; mtoto wa darasa la kwanza(umri 6/7yrs) anatoka Tabata kisukulu anakwenda kusoma s/msingi Kawe Ukwamani, au mtoto(7yrs) anatoka Gongo la Mboto anakwenda kusoma s/msingi Mbagala rangi tatu.Wakati unajua kuwa mtoti/kijana wako hatamudu ngalambe za mabasi unategemea nini? Ni kweli shule nyingi za serikali zinaktisha tamaa sana.

Kwa sekondari ni vigumu kidogo kwa sababu shule ni chache ktk maeneo yetu,itabidi tupambane hivyo hivyo.
 
Hivi, hao wanafunzi wana haki gani, kwa taarifa yenu sheria za nchi zinasema walipe nusu ya nauli ya mtu mzima... kwa maana kuanzia sasa walipe 200/- per normal route...

Lakini hata hivyo SUMATRA wamepunguza to 100/- Tsh. nani asiyejua kwamba mafuta yamepanda?

Hao wenye dala dala ambao wanalipa kodi etc. kwa nini wabebeshwe mzigo wao...

Ndio muda muafaka wa kujua kwamba kuzaa si tabu... bali kazi kulea na tujiandae kuwalipa watoto wetu.

Asubuhi one of the students was talking kwenye TBC ... he said kwamba theres someone who wanted to start up a company ya transport for students ... i've forgotten the abbreaviation and the details ... ameomba kibali siku nyingi but has not received any response

If someone watched please help me out ...

I really wonder kama kweli mtu kajitolea to save the situation na the same govt inamnyima kibali .. what do you expect

Kasheshe hao watoto wameshapigwa mabomu tayari wengine wamefungwa
 
Asubuhi one of the students was talking kwenye TBC ... he said kwamba theres someone who wanted to start up a company ya transport for students ... i've forgotten the abbreaviation and the details ... ameomba kibali siku nyingi but has not received any response

If someone watched please help me out ...

I really wonder kama kweli mtu kajitolea to save the situation na the same govt inamnyima kibali .. what do you expect

Kasheshe hao watoto wameshapigwa mabomu tayari wengine wamefungwa

Nilishasikia siku nyingi ila sijui kama alipatiwa ruksa.
 
Asubuhi one of the students was talking kwenye TBC ... he said kwamba theres someone who wanted to start up a company ya transport for students ... i've forgotten the abbreaviation and the details ... ameomba kibali siku nyingi but has not received any response

If someone watched please help me out ...

I really wonder kama kweli mtu kajitolea to save the situation na the same govt inamnyima kibali .. what do you expect

Kasheshe hao watoto wameshapigwa mabomu tayari wengine wamefungwa

Hiyo issue ya huyo muhindi aliotaka kuleta mabasi ya wanafunzi aliomba kusamehewa kodi zote kuanzia import,duty, mpaka income tax sasa serikali ikaona labda ni ujanja flani ikagoma
 
niko hapa jirani na jengo la mkuu wa mkoa, naona na kusikia wanafunzi wakiandama kupinga nauli ya mia
wanaimba nyimbo za kumpondea kandolo
naona na wengine wamechukuliwa na defender ya polisi
mpo wana habari?


Sasa kama watoto wa shule nao wameanza kuandamana bila kuogopa vitisho vya Polisi basi tunaelekea kubaya kabisa! Huko tunakokwenda Watoto wa Chekechea nao wataanza kuandamana, sijui Polisi watawapiga virungu nao?

Naona Polisi wetu wamekosa cha kufanya kabisa na sasa wanashindana na watoto wa shule; ni upotevu wa raslimali za taifa, au stock ya mabomu ya machozi inakaribia ku-expire? Kwani RPC angruhusu maandamano ingekuwaje? Wangeandamana na baadaye kutawanyika wenyewe baada ya kufikisha ujumbe wao.

Yaani mambo mengine yanazuilika kirahisi sana lakini kwa kuwa polisi wetu wamezoeshwa kutumia nguvu hata mahali pasipohitaji nguvu; Busara ndogo sana wanakosa! Ni vema serikali ijue hao ndo wapiga kura wa Uchaguzi wa 2010.
 
mimi naona wazazi walipe tu hizo nauli. kama tumekubali school fees kupanda katika shule za serikali bila kulalamika kuwa wanafunzi watashindwa inakuwaje haya mabasi ya wafanyabiashara, wajasiriamali inawezekanaje?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom