Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Hakika ila bila kibali wataumizwa
niko hapa jirani na jengo la mkuu wa mkoa, naona na kusikia wanafunzi wakiandama kupinga nauli ya mia
wanaimba nyimbo za kumpondea kandolo
naona na wengine wamechukuliwa na defender ya polisi
mpo wana habari?
Hivi, hao wanafunzi wana haki gani, kwa taarifa yenu sheria za nchi zinasema walipe nusu ya nauli ya mtu mzima... kwa maana kuanzia sasa walipe 200/- per normal route...
Lakini hata hivyo SUMATRA wamepunguza to 100/- Tsh. nani asiyejua kwamba mafuta yamepanda?
Hao wenye dala dala ambao wanalipa kodi etc. kwa nini wabebeshwe mzigo wao...
Ndio muda muafaka wa kujua kwamba kuzaa si tabu... bali kazi kulea na tujiandae kuwalipa watoto wetu.
Asubuhi one of the students was talking kwenye TBC ... he said kwamba theres someone who wanted to start up a company ya transport for students ... i've forgotten the abbreaviation and the details ... ameomba kibali siku nyingi but has not received any response
If someone watched please help me out ...
I really wonder kama kweli mtu kajitolea to save the situation na the same govt inamnyima kibali .. what do you expect
Kasheshe hao watoto wameshapigwa mabomu tayari wengine wamefungwa
Asubuhi one of the students was talking kwenye TBC ... he said kwamba theres someone who wanted to start up a company ya transport for students ... i've forgotten the abbreaviation and the details ... ameomba kibali siku nyingi but has not received any response
If someone watched please help me out ...
I really wonder kama kweli mtu kajitolea to save the situation na the same govt inamnyima kibali .. what do you expect
Kasheshe hao watoto wameshapigwa mabomu tayari wengine wamefungwa
niko hapa jirani na jengo la mkuu wa mkoa, naona na kusikia wanafunzi wakiandama kupinga nauli ya mia
wanaimba nyimbo za kumpondea kandolo
naona na wengine wamechukuliwa na defender ya polisi
mpo wana habari?